Kipis
JF-Expert Member
- Jul 23, 2011
- 492
- 61
Upande wa mshariki lina urefu wa mita244, upande wa kaskazini, lina upana wa mita247, upande wa magharibi,lina urefu wa mita280 na upande wa kusini,lina upana wa mita123. Shamba lipo kimbiji wilaya ya temeke,mkoa wa dar es salaa. <br />
<br />
ni mwendo wa masaa mawili au moja na nusu kutoka kigamboni hadi sehemu husika. Lipo umbali wa mita hamsini ilipo barabara na dakika kumi na tano tu kufika baharini. Bei ni tsh.80, 000, 000/= haina udalali.0715 664 478
<br />
ni mwendo wa masaa mawili au moja na nusu kutoka kigamboni hadi sehemu husika. Lipo umbali wa mita hamsini ilipo barabara na dakika kumi na tano tu kufika baharini. Bei ni tsh.80, 000, 000/= haina udalali.0715 664 478