Shamba linauzwa

Kipis

JF-Expert Member
Jul 23, 2011
492
61
Shamba lenye ukubwa wa ekari sita (6) linauzwa maeneo ya puna-kimbiji. Lipo karibu na Anderson beach ni dakika kumi na tano tu(15mns) hadi kufika beach. Kwa more infomation: contact 0715 664 478.
 
Shamba lenye ukubwa wa ekari sita (6) linauzwa maeneo ya puna-kimbiji. Lipo karibu na Anderson beach ni dakika kumi na tano tu(15mns) hadi kufika beach. Kwa more infomation: contact 0715 664 478.

Puna,
Kimbiji,
Kwa Anderson.
Ndo wapi huko?
Yaani unaona watu wataeleeeeewa ukisema hivyo.
Jifunzen kuelekeza mtu, nyie ndo wale ambao hamkawii kusingizia mmelogwa ndo maana biashara haiendi.
 
Puna,<br />
Kimbiji,<br />
Kwa Anderson.<br />
Ndo wapi huko?<br />
Yaani unaona watu wataeleeeeewa ukisema hivyo.<br />
Jifunzen kuelekeza mtu, nyie ndo wale ambao hamkawii kusingizia mmelogwa ndo maana biashara haiendi.
<br />
<br />
Kimbiji ipo nnje kidogo ya mji wa kigamboni bro.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom