umbali gani toka barabara kuu ya lami?,umeme nao uko umbali gani?Shamba hili lina ukubwa wa hekari tano, pia lina faa kwa ujenzi na barabara inafika vizuri. Bei yake ni 20,000,000/-.tu za kitanzania.
Mawasiliano 0719646407,
0713802507.
umbali gani toka barabara kuu ya lami?,umeme nao uko umbali gani?