elmagnifico
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 8,260
- 9,704
shamba linauzwa maeneo ya Kiluvya, Wilaya ya Kisarawe katika Mkoa wa Pwani. Shamba liko karibia kabisa na bonde la mto hivyo basi supply ya maji ni ya uhakika mwaka mzima.
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243
Lina ukubwa wa hekari 16 bei yake ni Tshs mil 65.
Call 0717354243