shamba linauzwa chanika

thatha

JF-Expert Member
Apr 29, 2011
15,340
1,566
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari tano.lipo chanika jijini Dsm.

umeme upo
barabara inafika hadi ndani ya eneo.
ni zuri na linafaa kwa aina yoyote ya uwekezaji na kwa makazi.

ni pm au piga simu no.0715290325

BEI Tshs millioni 160/= mazungumzo yapo.
 
kama bei ni siri hukuwa haja ya kubandika tangazo jamvini watanzania tunahitaji kujua faida ya matangazo yaliyo jitosheleza tuweke matangazo ambayo hayaleti maswali kwa wasomaji au ndio kuongeza post?
 
Nauza shamba langu lenye ukubwa wa ekari tano.lipo chanika jijini Dsm.

umeme upo
barabara inafika hadi ndani ya eneo.
ni zuri na linafaa kwa aina yoyote ya uwekezaji na kwa makazi.

ni pm au piga simu no.0715290325

BEI Tshs millioni 160/= mazungumzo yapo.

M2 wang kama vp uza vipande vipande kuanzia hekari moja moja.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom