BabaDesi
JF-Expert Member
- Jun 30, 2007
- 6,033
- 3,944
Nilisikia maeneo ya Kiluvya Tondoroni yana matatizo na JWTZ linasema ni mali yake. Mnaotaka kununua huko mjiridhishe kabla ya kununua kesi na JWTZ.
mkuu nami pia nilisikia mzozo huo mpaka uendelezaji ulisitishwa. cha msingi kuwa na tahadhari ya juu unaponunua maeneo hayo ili kuepuka mgongano na geeeshi.
Eneo la JWTZ liko mbele zaidi ya nilipo. Ninavyojua ni kuwa mgogoro wao uliishamalizika kwa JWTZ kuwekewa mipaka yao na watu wanaendelea na ujenzi. Anyway, mteja akiwa tayari atapita hatua zinazohusika ili kumuondolea hofu.