haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
Naomba kujuzwa juu ya shamba la miwa mwekezaji kakimbia kwa kushindwa gharama na lengo ilikuwa awe anauza nje lakini uendeshaji umemshinda na sasa kuna kampuni mama toka Maurit..
Na inachukuwa fursa hiyo lakini ikataka eneo kubwa zaidi na kibaya zaidi wananchi hawajui juu ya mabadilishano haya na pia ongezeko la eneo linalohitajika na pia serikali inataka kuwekeza kama asilimia 25 lakini wenye maeneo hawajui je ni haki? Au ndo kuwapa wawekezaji kila zuri na kuwafukuza wananchi katika mashamba yao na maeneo yao ili kumpisha mwekezaji?
Je wananchi wasubiri kunyanyaswa kama wa Mbarali-Mbeya? au wafanyaje kuzuia kunyang'anywa maeneo ili kumwongezea mwekezaji?
Na inachukuwa fursa hiyo lakini ikataka eneo kubwa zaidi na kibaya zaidi wananchi hawajui juu ya mabadilishano haya na pia ongezeko la eneo linalohitajika na pia serikali inataka kuwekeza kama asilimia 25 lakini wenye maeneo hawajui je ni haki? Au ndo kuwapa wawekezaji kila zuri na kuwafukuza wananchi katika mashamba yao na maeneo yao ili kumpisha mwekezaji?
Je wananchi wasubiri kunyanyaswa kama wa Mbarali-Mbeya? au wafanyaje kuzuia kunyang'anywa maeneo ili kumwongezea mwekezaji?