King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Mikorosho kaka bei si wanapanga wao mambo ya stakabadhi ghalani?
kulima nilime mie bei wapange wao majanga mbona majanga.
Mikorosho kaka bei si wanapanga wao mambo ya stakabadhi ghalani?
Wandugu (Malila, LAT, etc), hiyo project ya Mianzi inaendeleaje? Je, inachukua muda gani kupanda hadi kuvuna? Na soko lake je? Nimevutiwa sana na huo mradi.
Mimi nilifanikiwa kuotesha michache, baada ya mafanikio nikaamua nipande mingi sana hasa kwa ajili ya ujenzi wa mabanda ya mifugo. Mbegu zilimea vizuri sana, dogo kapeleka mbuzi bila kujua, mianzi yote ililiwa na kuharibiwa vibaya, nakuja kushituka hakuna kitu, lakini nimeanza upya. Nataka mianzi shambani kwangu kwa ajili ya ujenzi.
Wandugu (Malila, LAT, etc), hiyo project ya Mianzi inaendeleaje? Je, inachukua muda gani kupanda hadi kuvuna? Na soko lake je? Nimevutiwa sana na huo mradi.
Mimi nilifanikiwa kuotesha michache, baada ya mafanikio nikaamua nipande mingi sana hasa kwa ajili ya ujenzi wa mabanda ya mifugo. Mbegu zilimea vizuri sana, dogo kapeleka mbuzi bila kujua, mianzi yote ililiwa na kuharibiwa vibaya, nakuja kushituka hakuna kitu, lakini nimeanza upya. Nataka mianzi shambani kwangu kwa ajili ya ujenzi.
kiongozi nahitaji mianzi iliyokomaa unayo?
mambo vipi, nimenunua shamba kama ekali 10 maeneo ya Kibiti wazo langu lilikuwa ni kupanda zao la miti kama wewe ulishaanza naomba uni PM tuwasiliane nije kupata elimu kutoka kwako.nimepata ardhi kubwa,ninahitaji kujua shamba la Miti ukanda wa pwani linawezekana?if yes miti gani inahimili mazingira ya ukanda wa pwani [rufiji,kilwa].
nawaza miti ya under 10 years.
Mkuu white teak ilikubali??hivi sasa bamboo haiitaji maji au hata sehemu kavu kama kiwangwa na Fukayosi huko bagamoyo inaweza kukubali?
nakubaliana na mtoa hoja aliyetangulia kuwa mitiki hainenepi sana ukanda wa pwani (e.g. bagamoyo bagamoyo).. mimi nimejaribu kupanda kama ekari 5 za Gmelina arborea,(white teak) huko Fukayosi. naona inakubali, ila sijajua sana kama inanenepa sana au la. ukitaka habari yake unaweza kwenda Gmelina arborea - Wikipedia, the free encyclopedia ila naona LAT anafahamu suala la species za miti unaweza kutusaidia taarifa zaidi
Bwawani Ni pwaniSasa ardhi ambayo mvua sio nyingi sana ( Bwawani) Morogoro no miti aina gani naweza kupanda?
Panda miti ya matundamambo vipi, nimenunua shamba kama ekali 10 maeneo ya Kibiti wazo langu lilikuwa ni kupanda zao la miti kama wewe ulishaanza naomba uni PM tuwasiliane nije kupata elimu kutoka kwako.