Inkoskaz
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 6,372
- 2,374
Wadau katika kupitapita kwangu nimekuta shamba kubwa lipatalo acre 1000(443HA) linauzwa
Shamba hili lipo eneo la Mavulu karibu na Ngerengere na ni kilometa 14 kutoka barabara kuu ya Dar-Morogoro
Mto Ngerengere umepita katika shamba hilo na linafaa kwa uwekezaji mkubwa
Lina hati ambayo imelipiwa hadi 2009/10
Interested people can pm me for more details
Shamba hili lipo eneo la Mavulu karibu na Ngerengere na ni kilometa 14 kutoka barabara kuu ya Dar-Morogoro
Mto Ngerengere umepita katika shamba hilo na linafaa kwa uwekezaji mkubwa
Lina hati ambayo imelipiwa hadi 2009/10
Interested people can pm me for more details