Shamba Ekari Moja Linauzwa Mpigi

BabaDesi

JF-Expert Member
Jun 30, 2007
6,033
3,944
Shamba/Kiwanja Ekari moja kinauzwa Mpigi. Bei shilingi Milioni 4. Lipo eneo zuri. Wasiliana na 075 4340606
 
Hilo siyo shamba, ni kiwanja. Shamba walau anzia ekari 10 na kuendelea.
Mbona bei kubwa sana
 
Hilo siyo shamba, ni kiwanja. Shamba walau anzia ekari 10 na kuendelea.
Mbona bei kubwa sana

...According to what or which regulations??? Mwenye shamba kasema ana shamba la ekari moja anauza that is what it is going to be. Anayenunua ana uhuru wa kuliita ni shamba ama kiwanja ndio maana katika tangazo langu nimeweka maneno yote mawili.
Bei ni njema tu.Jirani yake kauza ekari hio hiyo moja kwa shilingi Milioni 5. Kumbuka kuwa hii ni biashara huria. Hana haraka. Yupo tayari kusubiri hadi eneo lipande bei na auze kwa milioni Sita! (Sorry Samwel!):)
 
Ndugu
nina milioni 2.5 keshi nije ?
Npm

...Angekuwa anauza vipande vipande ningekuambia uje pengine mngekubaliana akakuuzia NUSU Ekari. Lakini yuko adamanti kwamba ni 4 million for the Acre or basi...:nono:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom