...According to what or which regulations??? Mwenye shamba kasema ana shamba la ekari moja anauza that is what it is going to be. Anayenunua ana uhuru wa kuliita ni shamba ama kiwanja ndio maana katika tangazo langu nimeweka maneno yote mawili. Bei ni njema tu.Jirani yake kauza ekari hio hiyo moja kwa shilingi Milioni 5. Kumbuka kuwa hii ni biashara huria. Hana haraka. Yupo tayari kusubiri hadi eneo lipande bei na auze kwa milioni Sita! (Sorry Samwel!)
...Angekuwa anauza vipande vipande ningekuambia uje pengine mngekubaliana akakuuzia NUSU Ekari. Lakini yuko adamanti kwamba ni 4 million for the Acre or basi...:nono:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.