Shamba lenye ukubwa wa ekari 6 linauzwa kibaha kwa mathias kilometa moja kutoka morogoro road ni eneo flat linafaa kwa kujenga yard,shule au matumizi mengine kwa anayehitaji wasiliana na Swedi 0654085257
Shamba ekari 6? Kibaha kwa Mathias halafu just one Kilometa from Morogoro road? Sema shamba hilo lipo eneo gani kwa usahihi ili tukalione, Kwa uzoefu wangu inatia mashaka makubwa sana na ni vigumu sana hivi leo ukupata eneo kubwa kama hilo karibu na Morogoro Road labda kama unataka kuuza eneo ambalo lipo wazi la marehemu Mzee Mathias mwenyewe, anyway lete info zaidi ili tukutafute mapema kabla kina Papa Msofe hawajavamia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.