EBENEZA MT
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 264
- 50
Ndugu zangu amani ya Mungu iwe nanyi nimefurahi kuwa kwenye jamvi hili naamini mtanikaribisha.
hivi? micharuko ni nini?.Karibu sana ila hapa tunataka mambo ya maana yenye kujenga utapata marafiki wa kutosha micharuko humu sio sehemu yao
Ubarikiwe sana Mamndeny.Karibu Ebenezer, upako unaonekana jf.