kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
siwezi kukupa jibu, wapi nilipopatia
labda kwenye ulabu, akili zilipotea
ushauri wa tabibu, kinga nilitumia
Ndugu tusiwatenge wagonjwa wa UKIMWI
Hebu acha kujikosha, ulikopata wajua
ulichezea maisha, na sasa unajutia
hili gonjwa linatisha, tena pia linaua
kama nilivyokuusia, njoo kwa Yesu upone