Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,163
Rashid Lema, mmoja wa watuhumiwa wawili muhimu ambao bado hawayasimama kizimbani kutoa maelezo yao yu mahututi. Hali yake ilibadilika jana katika gereza la keko na akapelekwa hospitali ya Temeke. Leo asubuhi, alipewa rufaa kwenda muhimbili ambako amepokelewa muda mfupi uliopita na amelazwa.
Maelezo ya lema yanadhaniwa kuwa ni muhimu kwa sababu ni mmoja wa watu wanaoelezwa kuwa walishuhudia tukio la mauaji. lakini ilipofika zame yake ya kusimama kizimbani kujitetea, alishindwa kufanya hivyo kwa sababu za kiafya
Maelezo ya lema yanadhaniwa kuwa ni muhimu kwa sababu ni mmoja wa watu wanaoelezwa kuwa walishuhudia tukio la mauaji. lakini ilipofika zame yake ya kusimama kizimbani kujitetea, alishindwa kufanya hivyo kwa sababu za kiafya