Shahidi: Lema alimkashifu Dk. Buriani jukwaani

Cha kujiuliza ni kwamba wameathirika vp hao kina Mkhanga? CCM wanatengeneza mazingira ya uchochezi kwa wananchi, jambo ambalo ni hatari sana kwa afya ya taifa hili. Haki haijawahi kushindwa hata mara moja.
 
Kama alisema ni ubaguzi? muwe mnafikiria kwanza si kupandikiza udini kwa nguvu acheni udini wenu.......Kila unachotumwa unaandika changanya na mawazo yako
 
Atakuwa amepatikana na hatia ya udini kama mahakama itamkuta na kosa. lakini kwenye siasa tunahitaji subira ya mahakama kutupa ukweli baada ya uchunguzi
 
Si muda mrefu mambo yataiva na tutawataarifu rasmi hapa mjengoni, lakini kwanza tunafanya kazi ya kutambulishana! Lakini fahamu hadi Askari wa kimarekani na ambao wameshawahi kushiriki vita kule Iraq, Afaghanistan na kwengineko sasa wanasilimu na kujiunga na haya makundi; jee wewe bado kwanza!

Mkuu tuache udini hapa jamvini
 
lini mambo yatapamba moto? naona sifa ya kujilipua imewalewesha wengi...ukweli ni kwamba hakuna mtu anayemuogopa 'nyau' yeyote.
Mpuuzi ww na unafaa kupuuzwa. Mada ni habari ya kesi ya Lema iliyoandikwa kwenye gazeti, sasa huo unyau wako unaingiaje hapo?
 
Kama alisema ni ubaguzi? muwe mnafikiria kwanza si kupandikiza udini kwa nguvu acheni udini wenu.......Kila unachotumwa unaandika changanya na mawazo yako

Mimi nadhani itungwe sheria kali ya Ban ya maisha kwa member yeyote anayeshabikia udini hapa JF
 
Nachukia siasa chafu. Wakuu chondechonde na siasa za udini, iko siku tutakuja kuwa wakimbizi.
 
thread kama hizi ndipo utawajua wenye kupenda siasa za udini, badala ya kuona tuhuma hizi ni za Lema na kama atapatikana na kosa atawajibika kwa ubaguzi wake wao watalikuza na kulifanya ni kosa la dini moja kuishambulia dini nyingine.
 
Huyu ni mwanasiasa ambaye anadhamana ya kuwawasikilisha wananchi bila kuwabagua.




Mmojawapo wa wabunge ambao wanamalizia mda wao na hawatakanyaga tena bungeni ni huyu ganja man; lakini usishangae huu ukiwa ni mtazamo wa chama chake

wewe acha fitina na uzandiki,nataka kukueleza kuwa kumng'oa lema arusha hata miaka 15 ijayo ni ngumu.kajinyonge wewe mchwara
 
JF ni mahala ambapo habaguliwi mtu

hili ni jukwaa la siasa na hayo maneno amesema mwanasiasa ambaye kapewa dhamana kubwa sana na wananchi

sasa kwa nini hamtaji yajadiliwe? kwa nini mnawapiga presha akina invisible wahamishe thread?

mnaogopa nini?

Kama ni kweli!
Basi huo ni Unabii! na kama ni kwetu basi, Mh Lema angepelekewa mbuzi beberu Kubwa sana kama zawadi! Tena asubuhi subuhi! kwa unabii huo aliotabiri.
Msiwe na wasiwasi hadi kwenye vijuba!
 
Aliyetoa ushahidi dhidi ya Godbless Lema ni Agnes Mollel wote ni wakristo. Hapa hakuna udini ni uzalendo kwa wakristo kupambana mahakamani kutetea haki ya mwislamu Batilda Buriani.

Ndio kusema wadini msikuze jambo hili halijakaa kidini.
 
Tusubiri mahakama itoe hukumu ndio tumjadili.

Mods please thread kama hizi zinashusha sana kiwango cha JF.Na ndio maana siku hizi baadhi ya viongozi wenye majina wanashindwa kuingia hapa JF kuchangia hoja.Haiwezekani mtu analeta maneno ya mashahidi mahakamani kwamba ni confirmed news.Tafadhali ondoeni thread zenye mapungufu kama hii kwa heshima ya JF
 
Hii thread yenyewe ya kidini, sasa wewe ulitegemea kupata michango gani zaidi ya hii ambayo inatolewa! Kumbuka mwiba uchomeapo ndipo utolewapo.

Aliyetoa ushahidi dhidi ya Godbless Lema ni Agnes Mollel wote ni wakristo. Hapa hakuna udini ni uzalendo kwa wakristo kupambana mahakamani kutetea haki ya mwislamu Batilda Buriani.

Ndio kusema wadini msikuze jambo hili halijakaa kidini.
 
Nimetambua kumbe wenzangu humu vihiyo,mtu amepeleka ushahidi kortini wa umbea eti great thinkers mnaujadili.hata mleta hii mada yaonekana amelewa buku mbili za chatanda
 
Kwenye siasa kuna ushindani wa kutengeneza tuhuma na zinatungwa kwa umahili mkubwa. Tujadili mada hii lakini tusihukumu ni mapema kufanya hivyo kabla ya mahakama.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom