Si muda mrefu mambo yataiva na tutawataarifu rasmi hapa mjengoni, lakini kwanza tunafanya kazi ya kutambulishana! Lakini fahamu hadi Askari wa kimarekani na ambao wameshawahi kushiriki vita kule Iraq, Afaghanistan na kwengineko sasa wanasilimu na kujiunga na haya makundi; jee wewe bado kwanza!
Mpuuzi ww na unafaa kupuuzwa. Mada ni habari ya kesi ya Lema iliyoandikwa kwenye gazeti, sasa huo unyau wako unaingiaje hapo?lini mambo yatapamba moto? naona sifa ya kujilipua imewalewesha wengi...ukweli ni kwamba hakuna mtu anayemuogopa 'nyau' yeyote.
Kama alisema ni ubaguzi? muwe mnafikiria kwanza si kupandikiza udini kwa nguvu acheni udini wenu.......Kila unachotumwa unaandika changanya na mawazo yako
na huyo Musa Ikanga ni nani na ana mahusiano gani na Lema wakati wa kampeni au baada ya kampeni
Huyu ni mwanasiasa ambaye anadhamana ya kuwawasikilisha wananchi bila kuwabagua.
Mmojawapo wa wabunge ambao wanamalizia mda wao na hawatakanyaga tena bungeni ni huyu ganja man; lakini usishangae huu ukiwa ni mtazamo wa chama chake
wewe acha fitina na uzandiki,nataka kukueleza kuwa kumng'oa lema arusha hata miaka 15 ijayo ni ngumu.kajinyonge wewe mchwara
Mkuu tuache udini hapa jamvini
JF ni mahala ambapo habaguliwi mtu
hili ni jukwaa la siasa na hayo maneno amesema mwanasiasa ambaye kapewa dhamana kubwa sana na wananchi
sasa kwa nini hamtaji yajadiliwe? kwa nini mnawapiga presha akina invisible wahamishe thread?
mnaogopa nini?
Tusubiri mahakama itoe hukumu ndio tumjadili.
Hii thread yenyewe ya kidini, sasa wewe ulitegemea kupata michango gani zaidi ya hii ambayo inatolewa! Kumbuka mwiba uchomeapo ndipo utolewapo.
Hii thread yenyewe ya kidini, sasa wewe ulitegemea kupata michango gani zaidi ya hii ambayo inatolewa! Kumbuka mwiba uchomeapo ndipo utolewapo.
Nachukia siasa chafu. Wakuu chondechonde na siasa za udini, iko siku tutakuja kuwa wakimbizi.