Baada ya lile sakata la NECTA ambalo limenyakwa hata na vyombo vya habari vya nje, mabadiliko na uboreshwaji wa Baraza ambayo yamechukuliwa na Serikali hayatangazwi sana na vyombo vya habari! hii inaviweka katika hatari vyuo vya Tanzania kuonekana katika uoni wa macho ya nchi za nje kuwa untrustworthy! vyombo vya habari tafadhalini tangazeni mabadiliko na uboreshwaji wowote ule uliotokea NECTA baada ya lile sakata ili isije ikawakuta Watanzania yale yanayowakuta wasomi waliosomea Russia ambapo vyeti vyao havithaminiwi kabisa katika nchi za Magharibi.
Mod please usiubanie huu uzi kwa sababu ni ushauri tu kwa vyombo vya habari ambao ninaamini utasaidia sana wasomi wa Kitanzania.
Not coded message trust me!
Nawasilisha.
Mod please usiubanie huu uzi kwa sababu ni ushauri tu kwa vyombo vya habari ambao ninaamini utasaidia sana wasomi wa Kitanzania.
Not coded message trust me!
Nawasilisha.