satellite
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 616
- 164
Nashukuru nilimekata mdogo wangu kwenda pale UDOM angalau ss yuko chuo cha wahindi akabishane na wanaojua kufundisha kuliko hawa wanaofundisha kukua tu,we sbilingi baba yako anafundisha nini huko UDOM?maana umeandika pumba tu uwe unapiga mswaki kabla hujaja humu kutoa ushuhuda wako wa kinafiki.degree za kudesa ss hatuziitaji nawaonea huruma graduate wa pale wanakuja huku mahofisi hata hawa wa IT hadi unamuonea huruma miaka 3 for nothing hata kutumia server hajui.
Hii imenifanya niwakumbuke wahindi walionipa degree ya ukweli kuwa walitunyanyasa sana kwao ila wanahakikisha unatoka na kitu kichwani sio unarudi home uko kama ulivyokuja,pambafuuuuuuuuuuu!
Hii imenifanya niwakumbuke wahindi walionipa degree ya ukweli kuwa walitunyanyasa sana kwao ila wanahakikisha unatoka na kitu kichwani sio unarudi home uko kama ulivyokuja,pambafuuuuuuuuuuu!