Mzalendowetu
Member
- May 22, 2012
- 87
- 34
Kwa muda mrefu, nimekuwa mfuasi mzuri watovuti ya michezo ya www.shaffihdauda.cominayomilikiwa na Shaffih Dauda wa Clouds. Lakini huyu jamaa amekuwa akinikerasana kutokana na kuwa mtabiri wa matokeo ya baadhi ya mechi za mpira wa miguu.Wakati Chelsea ikicheza hatua ya nusu dhidi ya Barcelona, huyu jamaa aliipanafasi finyu sana Chelsea ya kuingia hatua ya fainali, lakini matokeo yakawatofauti. Hiyo haitoshi, wiki iliyopita katika mechi ya fainali baina ya Chelseana Bayern Munich, huyu jamaa aliandika maneno haya:
"BAYERN YENYE SAFU KALI YA USHAMBULIAJI NA BEKI MBOVU DHIDI YACHELSEA YENYE PENGO KUBWA LA RAMIRES……." Aidha chini ya kichwa cha habarihicho kulikuwa na baadhi maneno kama:
"BayernMunich moja kwa moja wanaingia kwenye mchezo kama timu yenye nafasi kubwa yakushinda . Ukiangalia baadhi ya factor nyingi za ushindi ziko upande wao.Ukiangalia wachezaji watakaowakosa ni tofauti na wale watakaokosekana naChelsea. Munich itawakosa Luis Gustavo, David Alaba na Olger Badstubber".
"Ukiitazama Chelsea ambayo itacheza leo ndiounapata taswira halisi ya jinsi walivyo kwenye wakati mgumu wakicheza naBayern".
Baada ya mchezo huo wa fainali kumalizika na Chelsea kutawazwa mabingwa wapyawa UEFA, jamaa aliandika:
"CHELSEA WALITULIA SANA KATIKA UPIGAJI WAPENATI JAPO MASHABIKI WALIZOMEA"
"WANAUME WA EUROPA CHELSEA WAREJEA LONDON"
Huyujamaa namshauri aache kuwa mtabiri kama 'Paul the Octopus'. Aelewe kwamba:
· Kwenye mpira wa miguu matokeo yeyote yanaweza kutokea.
· Matokeo ya mechi ni zaidi ya uzuri au ubaya wa timu auushabiki wako katika timu mojawapo
· Yeye kama mmiliki wa tovuti, anahitaji wateja wote bilakujali tofauti zao za ushabiki wa timu. Unapotabiri halafu matokeo yakawa tofautiinamaana unajenga chuki na baadhi ya mashabiki hivyo kupunguza wateja wako.
"BAYERN YENYE SAFU KALI YA USHAMBULIAJI NA BEKI MBOVU DHIDI YACHELSEA YENYE PENGO KUBWA LA RAMIRES……." Aidha chini ya kichwa cha habarihicho kulikuwa na baadhi maneno kama:
"BayernMunich moja kwa moja wanaingia kwenye mchezo kama timu yenye nafasi kubwa yakushinda . Ukiangalia baadhi ya factor nyingi za ushindi ziko upande wao.Ukiangalia wachezaji watakaowakosa ni tofauti na wale watakaokosekana naChelsea. Munich itawakosa Luis Gustavo, David Alaba na Olger Badstubber".
"Ukiitazama Chelsea ambayo itacheza leo ndiounapata taswira halisi ya jinsi walivyo kwenye wakati mgumu wakicheza naBayern".
Baada ya mchezo huo wa fainali kumalizika na Chelsea kutawazwa mabingwa wapyawa UEFA, jamaa aliandika:
"CHELSEA WALITULIA SANA KATIKA UPIGAJI WAPENATI JAPO MASHABIKI WALIZOMEA"
"WANAUME WA EUROPA CHELSEA WAREJEA LONDON"
Huyujamaa namshauri aache kuwa mtabiri kama 'Paul the Octopus'. Aelewe kwamba:
· Kwenye mpira wa miguu matokeo yeyote yanaweza kutokea.
· Matokeo ya mechi ni zaidi ya uzuri au ubaya wa timu auushabiki wako katika timu mojawapo
· Yeye kama mmiliki wa tovuti, anahitaji wateja wote bilakujali tofauti zao za ushabiki wa timu. Unapotabiri halafu matokeo yakawa tofautiinamaana unajenga chuki na baadhi ya mashabiki hivyo kupunguza wateja wako.