Mbona kila siku yupo redioni,wakati wanzie wanapumzikaga!:A S-rap:
Mbona kila siku yupo redioni,wakati wanzie wanapumzikaga!:A S-rap:
Aliacha kazi ya bank teller pale twiga ili ajikite kwenye kazi aipendayo.
Mbona kila siku yupo redioni,wakati wanzie wanapumzikaga!:A S-rap:
Uandishi wa habari ni tasnia yenye heshima sana...hata Rais wako wa awamu ya tatu alikua mwandishi wa habari...
unatoa wazo au unalalamika sielewi..
Kumbe alikuwa bank teller ndo mana sababu uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana halafu ata huo u teller pia alikuwa anafanya kwenye bank ndogo (TWIGA) No challenge yani anaongeaga utadhani kazaliwa brazil tena familia moja na PELE kumbe ni jamaa wa UAMSHO pale mchambawani ZENJ ngoja tuukatae muungano arudi kwao akafanye azichambue KMKM,MIEMBENI,SHANGANI na MCHAFUKOGA FC.
nafikiri hana tatizo na mtu..........Mbona kila siku yupo redioni,wakati wanzie wanapumzikaga!:A S-rap: