Kuna tetes kua Osama Ole Laden alikua mshabiki mkubwa wa Man United ali maarufu Mashetani wa Kijani (gamba).Alisema wakati wa fainali ya Uefa Maniu itashinda ila sasa hayupo.Kwa niamba ya JF tunawapa pole Maniu kwa kumpoteza shabiki yao mkubwa na anayezidi umaarufu wa babu wa loliondo kwa sasa