simplemind
JF-Expert Member
- Apr 10, 2009
- 16,409
- 9,183
Shabiki wa chelsea bi Tabitha Nyambura mwenye miaka 21 (Kajiado - Kenya) amefariki kwa mshituko punde baada Man U kufunga bao la kwanza.
RIP Tabitha
Chanzo: Citizen TV Kenya
RIP Tabitha
Chanzo: Citizen TV Kenya