Sh 64 bilioni zatumika sherehe za Uhuru!

Mi mara nyingi huwa nawashangaa mnaojiita Great thinker,kwani kuna tofauti gani mchaga kutumia milion kumi akisherekea xmas rombo na ndgu zake ambao hat secondary hawajagusa na nchi yenye watu zaidi ya 40mil?,nyie wenyewe kila mwaka mnafanya birthday zenu za zaidi ya 70 elfu na hili khari bado hamja timiza mahitaji yenu yote ya kifamilia iweje gvt isisherekee 50yrs kwa Bs?ok anaway this is a demothinking ground.
1.Wewe mbona umeshaligusa.Nilifikiri hata wewe ni great thinker.
2.Jaribu kuongeza umakini kwenye kuchambua hoja.Hapa unachanganya matumizi ya fedha za umma na za mtu binafsi.
 
View attachment 43258
Hii ndo gharama ya ule mjengo wa pspf pale posta.
Mimi nafikiri pesa hiyo ingetumika walau tatizo moja kati ya maradhi,umaskini na ujinga kuliko kutapanya kiivo.
Happy birthday Tanzania of 50 years of DEPENDENCY
 
Huu ndio utamaduni wetu watanzania. Unaanzia katika hatua ya mtu mmoja mmoja mpaka kwa taifa. Kuna tofauti gani kati ya hiki kilichofanyika kwenye sherehe za uhuru wa Tanganyika na watu kutumia Tshs 50 million kwa harusi kwa harusi ya masaa machache kwa siku?
 
kwa kauli yako mkuu ni bora kuanza kuomboleza, kumbe watz wote huenda tukawa na 'vichwa nazi'!
Leo asubuhi nimesikia interview BBC (network Africa) ya rais wa Gambia, Yahya Jameh alivyojigeuza mganga (dikteta) wa kienyeji sasa nikajiuliza, hivi huyu naye akikaa na maraisi wengine UN au AU anajiona ni sawa nao kwa vile wote ni head of States!? (ukiondo wenzie wachache wanaofanana naye)
Miaka 50 hatujui priority ni kitu gani mbali na matumbo yetu!
Huu ndio utamaduni wetu watanzania. Unaanzia katika hatua ya mtu mmoja mmoja mpaka kwa taifa. Kuna tofauti gani kati ya hiki kilichofanyika kwenye sherehe za uhuru wa Tanganyika na watu kutumia Tshs 50 million kwa harusi kwa harusi ya masaa machache kwa siku?
 
haya yanafanyika kwasababu waoga wengi mmejificha humu JF then mnajidai great thinkers wanaharakati wakisema tufanye maandamano hamuonekani waacheni watumie si mnajua starehe gharama watabadilika iwapo nyie mazuzu mtaacha ujuha.
 
Hela ambayo ingetosha kabisa kuunganisha wilaya ya karatu na Mbulu kwa kiwango cha lami. Mbulu ambayo kwa miaka zaidi ya 100 ya uwepo wake kama wilaya haina barabara ya lami hata moja!

Tungeweza basi kununua magari ya wagonjwa kwenye wilaya karibu 100 nchini na kuondokana na mpango wa vibajaji!

Tungeweza kuwalipa waalimu malimbikizo ya madeni yao na kuepukana na mgomo walioitisha mwezi januari mwakani!

Tungeweza kulipia mfuko wa jimbo kwa wabunge zaidi ya mia 3 kwa miaka miwili!

Duh! Hadi ccm itakapoondolewa madarakani tutakuwa tumebaki mifupa mitupu!
Sasa hivi hela zinapelekwa kwenye lami,reli,anga na umeme wanasema si kipaumbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom