kaburunye
JF-Expert Member
- May 12, 2010
- 672
- 74
Wadau, this is for your information. Ripoti juu ya sakata la rada inayoonyesha jinsi Rashid na Chenge walivyohusika. Jamani, hivi ni kipi kinaendelea mbona iko wazi kabisa kuwa hawa jamaa wana kesi ya kujibu? Au ndo kama alivyosema IGP Mwema kuwa mafisadi ni vigumu kuwakamata vinginevyo nchi italipuka