SFO: Hivi ndivyo Chenge alihusika kashfa ya rada!

Halafu mwanasheria Mkuu wa serikali akiambiwa Mikataba ipitie Bunge ili kujaribu kuzui kama si kupunguza wizi kama huu, yeye atakwambia katiba hairuhusu kisa wanataka kuiba. kweli tanzania italiwa na wenye meno.
 
tatizo mnafikiri somebody care to know! Hivi kuna kitu gani tunaweza kukiandika na kukifafanua ili watu waone ubaya wake? nothing. absolutely nothing.
Mwanakijiji,
Watu wanaona ubaya wa mambo mengi tu tunayoyaandika humu na kwingineko. Mkinyamaza kabisa au mkakata tamaa mambo yatakuwa mabaya zaidi. Hatuna Bunge la maana, hatuna vyombo vya habari za uchunguzi vya maana, Taasisi za serikali kama TISS na PCCB ndio kama hizo,...... Angalia na tafakakari kwa makini uone bila ya watu kama wewe, JF, kama akina EPA, Richmond zingefika hata hapo zilipofikia.
 
wengine wameenda mbali na kusema kwa kuwa mwendesha mashtaka ni wa kanda ya ziwa ndo maana jamaa hapelekwi kwa pilato.

Ndugu yangu, acha kutetea uchochezi wa kikabila katika nchi yako! Kama huyo mwendesha mashitaka hajafanya lililo wajibu kwake, basi achukuliwe ni madhaifu yake na hayana uhusiano wowote ule na kutokea kanda ya kusini ama ya magharibi au ya ziwa ya Tanzania. Kauli kama hivi hupotosha na kuweka vivuli kwa watu wazembe kuweza kujificha kwazo. Turudi kwenye thread, kama uchunguzi umekamilika kuhusiana na tuhuma hizi nzito, mimi nikiwa mtanzania nawakumbusha wenye jukumu la kuwafikisha watuhumiwa hao mahala panapositahiri wafanye hivyo ili haki itendeke. Wafikishwe mahakamani wote waliohusika kwenye sakata hili lililochafua taswira ya Tanzania kwenye anga za kimataifa! Namshauri pia Chenge asiende kugombea tena ubunge maana hafai, na akiwa mbishi ataumbuliwa sana kwenye kampeni zake kuhusiana na haya!
 
Hawa na wakina Pesambili Mramba, Yona, Mgonja, wote si wezi? Mbona huyo (Chenge) hapelekwi kwa pilato kama wao?Je hisia zilizojengeka miongoni mwa baadhi ya watu kwamba wakina Pesambili wanaonewa/wametolewa sadaka ni za kweli??? wengine wameenda mbali na kusema kwa kuwa mwendesha mashtaka ni wa kanda ya ziwa ndo maana jamaa hapelekwi kwa pilato.

Any way KIDUMU CHAMA CHA MAPUNDUZI

Mie nafikiri ni kwa sababu huyu bwana anashikilia makabrasha yote muhimu ya ufisadi.
 
Da mmenichanga na hii mada Duu!!! Yaani Sirikali Kwishneeeeeee aina maamuzi kama Housegeli Du!!! House girl noma akiamua kitu mama mwenye nyumba anapinga atazania anapinduliwa.
 
Salamu zangu!

Babu! Belgium naskia kuna mgao wa umeme! Huku hali ni shwari! Kuna mvua za elnino! Maji kibao mtera,kihansi,nyumba ya mungu! Umeme wa kutosha kabisa! Ila nadhani mafisadi ndo wanaupata, mana maeneo ya kama kule ninakoishi ni so!! Kiza kinene! Sema cha kushangaza ni kwamba bar bado zipo wazi! Kuhusu huo mgao wenu, kwa nini msiconvert hiyo snow kua maji kwa ajili ya kusukuma mitambo? Au kama ni nuclear umeme, nadhani mje kujenga mitambo huku kigoma karibu na colony la zamani kisha tunaupitisha bahari....au? Na sisi huku tupigane coz si hela za kigoma zitakuja kwa mafisadi dar!! Na kama jamaa wanaogopa terrorism kutoka kwa ndugu zetu wa pemba (wanyonge hawa) pale SUA kuna panya wa kudetect mabomu!! Kwa hiyo hiyo plant italindwa na panya!!! Ha! Jamani!!

Naskia pia mmeishiwa na nyama! Huku ipo nyingi sana! Yani ya kutosha! Ya kumwaga. Cha kushangaza ni kwamba, eti mifugo inakufa kwa njaa! Na pia kuna watu milioni moja wapo na janga la njaa! Inashangaza! Najiuliza, kwanini hii mifugo agalabu hafifu, kwa nini wasipewa wajanga hawa? Mana kwa sasa tunapoteza mifugu na watu!! Na mingine inapelekwa comoro! All the way from dodoma,shinyanga to comoro! Najiuliza tu jamani!! Sina uhakika kuhusu mchele umebaki kiasi gani!! Sijui. Ila najua tu kwamba pale ifakara pekee kuna ardhi na kila hali bora ya kutengeneza mchele kwa ajili ya Tanzania nzima na kuuza!! Nakupa mfano.....Kuna sehemu moja kame kuliko zote katika mkoa wa kilimanjaro. Ajabu ni kwamba....ndo wanatoa mchele wa kutosha kilimanjaro yote kwa kutumia maji ya mfereji! Kama kuna mtu anabisha aende Moshi, chekereni, kama kilometre 30 toka moshi mjini. Ofcoz pale kuna kitu kinaitwa Kilimanjaro Agricultural Training Centre!! Alas! ipo chini ya wajapan! wakishirikiana na maprofesa wa SUA. Maprofesa wetu ofcoz either wamechoka wakaingia katika politics wenyewe au hawasikilizwi kabisa inturn wanalisha familia zao tu!

Ulivokuja mara ya mwsho ulisema na huko kuna foleni ya kutosha!! Huku hakuna hata kidogo!! Yani kuna barabara nyingi kweli! Hasa maeneo ya oysterbay! Da! Kule bana....wameanza kurudishia lami ilioarabika ilowekwa na wakoloni zamani!! Sijui wamerudi? Sinza ninapoishi pia naisi itafika! Uchaguzi wa serikali za mitaa umefika! Ila naona mwaka huu wamechonga tu! kwa hiyo kuna vumbi kweli! Nimeskia kwamba wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2050 wataweka lami! Ninachotaka kusema ni kwamba barabara zetu ni kubwa sana! na zina nafasi za kutosha kabisa iloachwa kwa ajili ya kuongezewa indapo foleni itakua mbaya kama huko hata yakapita magari kumi kila upande! Sisi hatuna haja ya kujenga flyovers kama Ghana na Kenya ambao wameanza. Tuna ardhi ya kutosha sana! Mfano ni ule wa barabara tatu pale! Nafasi kubwa pande zote! Na sasa wanaongeza! Ila naona kuna baadhi ya majengo hawavunji! Kama lile la green acres business centre ambalo awali ilikua ni shule! BUT there demolishing the next building adjacent to it! Naiskia eti hiyo barabara inaenda alikotoka kiongozi wetu! Mana yule aliepita alitengeneza daraja na barabara ya kwenda kwake! Tungoje akitokea Kule kwenu ulikokimbia yeye atatengeneza itayolekea Rwanda in spirit of East africanism!

Ungependa kujua kuhusu hospitali zetu bora? Nitaliacha hilo na kuzungumizia habari za shule zetu na lugha ngeni ya kiingereza, Yani luga ya colonial masters wetu japo eti inasemekana wao walikua wakitutakecare! Kama umekua ukifatilia katika mitandao ambayo ni mingi kabisa na ya kutosha na hasa kama internet yako inatumia zile fibre optic cable za kupita baharini za spidi kali! Itakua ulimsikia kanumba akiwa katika lile jumba na kaka mkubwa!!! Inasemakana alisema nanukuu "...I am closing..." akimanisha he is "fasting" katika kile kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani! Sasa bwana, watanzania wacha wapate na hasira!!! wakamcheka! wakamzomea! Najiuliza.....watanzania hawa wamesoma shule zipi ambazo kingereza kilifundishwa vizuri hivo? Mana mimi nilikosoma kwa kweli hali haikua nzuri. Kwa maana ingine, kumcheka kanumba, ni kujicheka sisi wenyewe na mfumo wetu wa elimu! Ila kubwa zaidi, ni kudharau luga yetu ile baba wa taifa alituunganisha tukapata uhuru?

Sijui kama ungependa sana kuskia jinsi tumesherekea siku ya kufa kwa baba wetu wa taifa! Tulikaa nyumbani ofcoz!! Sina uhakika kama angekuepo angekubali hiyo hali au angesema tufanye kazi za jamii kama vile kusafisha mitaa yetu ambayo ni misafi kweli! haswa alikoamia lubango! Babu yangu aliwai niambia wakati wa bwana mkoloni, walikua wanatenga siku maalumu za kufanya kazi kwa mitaa ikiwepo usafi,kutengeneza barabara na mifereji ya maji ili jamii ipate!!! Ukienda utaona hadi leo hizi barabara zipo na mifereji! Najiuliza, hiyo sio muimu zaidi kipindi hiki cha uhuru? Tufanye kwa mapenzi ya taifa? Lakini huku kwetu ni kusafi zaidi!!!

Niishie hapo? Mmechoka? Mna kazi nyingi maofisini? Babu, una kipindi? Na nani? Moja ya wanafunzi? Au umetoka umekuja mjini kushulikia mishe mishe zako? Au sasa hivi upo unapata lunch! kisha ukirudi ofisini ni saa kumi! na mda wa kukaa ofisini umeisha??

Basi nimemaliza. Someni. Fanyeni kazi! Nawapenda wooooote! Sana! Labda kesho ikifika (taifa la kesho) sisi tutabadili mambo na kufanya nchi kua mbaya kama anayoishi Babu ambayo wamefanya ukatili kwa kutokomeza mmbu!! Kwa hiyo malaria hakuna!!! Wala Malale!!

Asenti
Courtesy of A. Kileo
 
Salamu zangu!

Babu! Belgium naskia kuna mgao wa umeme! Huku hali ni shwari! Kuna mvua za elnino! Maji kibao mtera,kihansi,nyumba ya mungu! Umeme wa kutosha kabisa! Ila nadhani mafisadi ndo wanaupata, mana maeneo ya kama kule ninakoishi ni so!! Kiza kinene! Sema cha kushangaza ni kwamba bar bado zipo wazi! Kuhusu huo mgao wenu, kwa nini msiconvert hiyo snow kua maji kwa ajili ya kusukuma mitambo? Au kama ni nuclear umeme, nadhani mje kujenga mitambo huku kigoma karibu na colony la zamani kisha tunaupitisha bahari....au? Na sisi huku tupigane coz si hela za kigoma zitakuja kwa mafisadi dar!! Na kama jamaa wanaogopa terrorism kutoka kwa ndugu zetu wa pemba (wanyonge hawa) pale SUA kuna panya wa kudetect mabomu!! Kwa hiyo hiyo plant italindwa na panya!!! Ha! Jamani!!

Naskia pia mmeishiwa na nyama! Huku ipo nyingi sana! Yani ya kutosha! Ya kumwaga. Cha kushangaza ni kwamba, eti mifugo inakufa kwa njaa! Na pia kuna watu milioni moja wapo na janga la njaa! Inashangaza! Najiuliza, kwanini hii mifugo agalabu hafifu, kwa nini wasipewa wajanga hawa? Mana kwa sasa tunapoteza mifugu na watu!! Na mingine inapelekwa comoro! All the way from dodoma,shinyanga to comoro! Najiuliza tu jamani!! Sina uhakika kuhusu mchele umebaki kiasi gani!! Sijui. Ila najua tu kwamba pale ifakara pekee kuna ardhi na kila hali bora ya kutengeneza mchele kwa ajili ya Tanzania nzima na kuuza!! Nakupa mfano.....Kuna sehemu moja kame kuliko zote katika mkoa wa kilimanjaro. Ajabu ni kwamba....ndo wanatoa mchele wa kutosha kilimanjaro yote kwa kutumia maji ya mfereji! Kama kuna mtu anabisha aende Moshi, chekereni, kama kilometre 30 toka moshi mjini. Ofcoz pale kuna kitu kinaitwa Kilimanjaro Agricultural Training Centre!! Alas! ipo chini ya wajapan! wakishirikiana na maprofesa wa SUA. Maprofesa wetu ofcoz either wamechoka wakaingia katika politics wenyewe au hawasikilizwi kabisa inturn wanalisha familia zao tu!

Ulivokuja mara ya mwsho ulisema na huko kuna foleni ya kutosha!! Huku hakuna hata kidogo!! Yani kuna barabara nyingi kweli! Hasa maeneo ya oysterbay! Da! Kule bana....wameanza kurudishia lami ilioarabika ilowekwa na wakoloni zamani!! Sijui wamerudi? Sinza ninapoishi pia naisi itafika! Uchaguzi wa serikali za mitaa umefika! Ila naona mwaka huu wamechonga tu! kwa hiyo kuna vumbi kweli! Nimeskia kwamba wakati wa uchaguzi wa serikali za mitaa wa mwaka 2050 wataweka lami! Ninachotaka kusema ni kwamba barabara zetu ni kubwa sana! na zina nafasi za kutosha kabisa iloachwa kwa ajili ya kuongezewa indapo foleni itakua mbaya kama huko hata yakapita magari kumi kila upande! Sisi hatuna haja ya kujenga flyovers kama Ghana na Kenya ambao wameanza. Tuna ardhi ya kutosha sana! Mfano ni ule wa barabara tatu pale! Nafasi kubwa pande zote! Na sasa wanaongeza! Ila naona kuna baadhi ya majengo hawavunji! Kama lile la green acres business centre ambalo awali ilikua ni shule! BUT there demolishing the next building adjacent to it! Naiskia eti hiyo barabara inaenda alikotoka kiongozi wetu! Mana yule aliepita alitengeneza daraja na barabara ya kwenda kwake! Tungoje akitokea Kule kwenu ulikokimbia yeye atatengeneza itayolekea Rwanda in spirit of East africanism!

Ungependa kujua kuhusu hospitali zetu bora? Nitaliacha hilo na kuzungumizia habari za shule zetu na lugha ngeni ya kiingereza, Yani luga ya colonial masters wetu japo eti inasemekana wao walikua wakitutakecare! Kama umekua ukifatilia katika mitandao ambayo ni mingi kabisa na ya kutosha na hasa kama internet yako inatumia zile fibre optic cable za kupita baharini za spidi kali! Itakua ulimsikia kanumba akiwa katika lile jumba na kaka mkubwa!!! Inasemakana alisema nanukuu "...I am closing..." akimanisha he is "fasting" katika kile kipindi cha mwezi mtukufu wa ramadhani! Sasa bwana, watanzania wacha wapate na hasira!!! wakamcheka! wakamzomea! Najiuliza.....watanzania hawa wamesoma shule zipi ambazo kingereza kilifundishwa vizuri hivo? Mana mimi nilikosoma kwa kweli hali haikua nzuri. Kwa maana ingine, kumcheka kanumba, ni kujicheka sisi wenyewe na mfumo wetu wa elimu! Ila kubwa zaidi, ni kudharau luga yetu ile baba wa taifa alituunganisha tukapata uhuru?

Sijui kama ungependa sana kuskia jinsi tumesherekea siku ya kufa kwa baba wetu wa taifa! Tulikaa nyumbani ofcoz!! Sina uhakika kama angekuepo angekubali hiyo hali au angesema tufanye kazi za jamii kama vile kusafisha mitaa yetu ambayo ni misafi kweli! haswa alikoamia lubango! Babu yangu aliwai niambia wakati wa bwana mkoloni, walikua wanatenga siku maalumu za kufanya kazi kwa mitaa ikiwepo usafi,kutengeneza barabara na mifereji ya maji ili jamii ipate!!! Ukienda utaona hadi leo hizi barabara zipo na mifereji! Najiuliza, hiyo sio muimu zaidi kipindi hiki cha uhuru? Tufanye kwa mapenzi ya taifa? Lakini huku kwetu ni kusafi zaidi!!!

Niishie hapo? Mmechoka? Mna kazi nyingi maofisini? Babu, una kipindi? Na nani? Moja ya wanafunzi? Au umetoka umekuja mjini kushulikia mishe mishe zako? Au sasa hivi upo unapata lunch! kisha ukirudi ofisini ni saa kumi! na mda wa kukaa ofisini umeisha??

Basi nimemaliza. Someni. Fanyeni kazi! Nawapenda wooooote! Sana! Labda kesho ikifika (taifa la kesho) sisi tutabadili mambo na kufanya nchi kua mbaya kama anayoishi Babu ambayo wamefanya ukatili kwa kutokomeza mmbu!! Kwa hiyo malaria hakuna!!! Wala Malale!!

Asenti
Courtesy of A. Kileo
 
Deusdedit,

That was a very interesting read. Almost poetic.
I normally don't read such long posts but I just found myself at the end of your post having enjoyed it immensely!!

Do keep them coming

Injinia
 
Mie nafikiri ni kwa sababu huyu bwana anashikilia makabrasha yote muhimu ya ufisadi.
Hili nakubaliana nalo haswaa 100 kwa 100! Nadhani amewatishia wote kuwa atawaumbua! Na kwa kujua ana nguvu hiyo ndiyo kitu kilipelekea yeye kufanya vyote kama alivyotaka au amua mwenyewe. Hii inaonyesha wazi kama isingelikuwa SFO, hakuna ambaye angekuwa na ubavu wa kumtaja popote na kwa lolote!
 
wengine wameenda mbali na kusema kwa kuwa mwendesha mashtaka ni wa kanda ya ziwa ndo maana jamaa hapelekwi kwa pilato.

Ndugu yangu, acha kutetea uchochezi wa kikabila katika nchi yako! Kama huyo mwendesha mashitaka hajafanya lililo wajibu kwake, basi achukuliwe ni madhaifu yake na hayana uhusiano wowote ule na kutokea kanda ya kusini ama ya magharibi au ya ziwa ya Tanzania. Kauli kama hivi hupotosha na kuweka vivuli kwa watu wazembe kuweza kujificha kwazo. Turudi kwenye thread, kama uchunguzi umekamilika kuhusiana na tuhuma hizi nzito, mimi nikiwa mtanzania nawakumbusha wenye jukumu la kuwafikisha watuhumiwa hao mahala panapositahiri wafanye hivyo ili haki itendeke. Wafikishwe mahakamani wote waliohusika kwenye sakata hili lililochafua taswira ya Tanzania kwenye anga za kimataifa! Namshauri pia Chenge asiende kugombea tena ubunge maana hafai, na akiwa mbishi ataumbuliwa sana kwenye kampeni zake kuhusiana na haya!


Napinga ukabila, udini kwa nguvu zote, tena zote, nilichokizungumza hapo ni hisia ambazo zipo mtaani, watu wanaongea hivyo mtaanii, kwamba BPM na YONA wanaonewa kwa kuwa hawajatoka huko, kwani swala la Chenge liko wazi kwanini asishitakiwe na yeye? kama wataka kuyasikia hayo na mengine tembelea vijiwe vya kahawa jioni,ndo utajua wananchi wanhisia gani
 
Napinga ukabila, udini kwa nguvu zote, tena zote, nilichokizungumza hapo ni hisia ambazo zipo mtaani, watu wanaongea hivyo mtaanii, kwamba BPM na YONA wanaonewa kwa kuwa hawajatoka huko, kwani swala la Chenge liko wazi kwanini asishitakiwe na yeye? kama wataka kuyasikia hayo na mengine tembelea vijiwe vya kahawa jioni,ndo utajua wananchi wanhisia gani


Prodigal Son;787317!
Uko karibu na ukweli Chenge (Mzee wa Bajaji ) or the bajaj murderer ndie aliyemshauri Jakaya amteue Mwanyika the retired AG na mtu wake wa karibu kumridhi at the same time Edward Hosea comes from the same area na Chenge! DPP -Eliezer Feleshi yule kijana mwanasheria wa umri sawa na Ngeleja ni mpwa wake Edward Hosea. This triangle justifies why Andy Chenge is untouchable. Hao watu wamewekwa strategically to serve him. I have not dug the connection with the incumbent AG in the name of Hon: Werema labda kwa sababu Chenge kama mwanasheria wa siku nyingi in public office could still have a lost of respect from the learned fellows who at times only go for glory na kusahau wajibu wao kikatiba na kizalendo. The idea is that Chenge's power base is based on a lot of dosiers in his hands ya ufisadi wa watu wengi from Kikwete's connection to Deep green and IPTL wanaogopa in case he goes to the dock he might spit fire that could be one of the schools of thought!! tHEREFORE kubali tusikubali as Pinda and Mwema confessed hawa mafisadi are much much stronger than the 40 million Tanzanians nadhani the only dawa ni mob justice we come near them wavishwe tairi!!! This can make watawala walarushwa come to their senses vinginevyo imekula kwetu nawasilisha!!!!!! Jukumu la kuwavisha tairi tushirikiane hata ikibidi na ma-house boys/girls some of them are in high offices like Usalama wa taifa etc!!
 
Je kuna ushahidi wa wazi kumshitaki Chenge? angalieni na sheria zetu pia kama ina uwezo wa kumbana mtu kama chenge hasa wataalamu wetu wa mambo ya sheria huko Takukuru wakiandaa Chaji shiti dhaifu basi mtabakia kupokea chenchi iliyobaki kwenye ununuzi wa rada mtafunga midomo jamaa anaendelea kula maisha.
 
Jamani mi naona hamna ushahidi wa kutosha... kuna ushahidi wa kimazingira tu ambao pia ni afifu kama ule wa yulee mwanahabari za rushwa.
 
tatizo mnafikiri somebody care to know! Hivi kuna kitu gani tunaweza kukiandika na kukifafanua ili watu waone ubaya wake? nothing. absolutely nothing.
Mzee mwanakijiji,
Absolutely Nothing, you can say that again;
Tujadili njia za kuyageuza maneno yetu kuwa vitendo:
Nimeyasema haya katika thread nyingine naona niyarudie hapa kuna umuhimu wa Walk the Walk badala ya Talk the Talk! Naona wakati umefika kwa JF kuwa na "ACTION GROUP" ili kujaribu kukabiliana na baadhi matatizo kwa vitendo. Kwa wale mliotanguli kujiunga na kuchangia mawazo kila uchao mniwie radhi in advance ikiwa ninakosea, lakini tumekuwa wazungumzaji na watoa lawama, au Wafagiliaji wa kambi A na Wapondaji wa Kambi B, Wakati ukweli wa mambo ni kuwa Kambi zote hizo zimeoza zinakwenda kwa amri ya Mungu tu.

Matatizo ya UFISADI,RUSHWA,UBADHIRIFU WA MALI ZA TAIFA,UONGOZI MBAYA/MBOVU,UTUMIAJI MBAYA WA MADARAKA na mengine mengi ni baadhi ya mambo ambayo "ACTION GROUP" Ingeweza kukabiliana nayo Kwa kutumia Vyombo na Taasisi za ndani na nje ya Nchi. Ili maswala kama hayo yasipotee na kuishia hewani "ACTION GROUP" Ichukuwe hatua za kuyafikisha katika taasisi za nchi zinazohusika na ikiwa zitakataa kulipokea au zitapuuza basi lipelekwe katika taasisi za kimataifa. Ni jambo litakalohitaji Wakati na Moyo mkuu wa kujitolea na bila shaka fedha za uendeshaji pia zitahitajika, ningependa kusikia hoja zenu:

MZEE MWANAKIJIJI, REV KISHOKA, BUBU ATAKA KUSEMA, FIELDMASHER, ELNINO, MWIBA, GAME THEORY, COMPANERO, JUJUMAN, LOLE GWAKISA na wote ambao majina yenu sikuweza kuyataja kwa leo.
 
Kwa mtizamo wangu mimi naona kwamba ikiwa serikali itazipokea hizo pesa za marejesho kutoka BAE maana yake ni kukubali yale yaliyogunduliwa na SFO, na kama ndivyo Chenge na wenzake wana kesi ya kujibu itakayo pelekea kukutwa na hatia kwa sababu ushahidi uko wazi kabisa.

Lakini Tanzania mara nyingi huwa ni zaidi ya tuijuavyo lolote laweza kutokea, pengine yakawa yale yale ya mwacheni mzee apumzike!! Wezi wanaachwa wapumzike?
J King,
Pesa lazima tupokee kwani ni haki ya Watanzania, na wenzetu sheria ikishaamua, no body is above the Law. Shida, Tabu na Matatizo yapo kwetu.
Badala ya mazungumzo tujadili vitendo, "Action speak lauder than wards"
sikusudii vurugu za kuandamana au ghasia za migomo, hapana. Taaluma za kutumia Taasisi za ndani na nje ya nchi, tukiungana kwa vitendo kama tulivyo hapa kwa maneno naamini We can do it.
 
Mimi nafikiri wanaharakati waiwekee shinikizo serikali ya Tanzania kuchukua hatua dhidi ya wahusika, ikibidi kwa kumobilize maandamano ya wananchi.
Kama mafisadi waliweza kumobilize maandamano ya kuatia moyo Chenge na Lowasa kule Monduli na Bariadi, sioni kwa nini watu wenye nia njema na nchi hii wasi afford kuaandaa watz wema kwa maandamano ya kupinga double standard in application of law.

Ni nani hao kama sio wewe na mimi? Ndio maana haya mambo yanaendelea kuwepo sababu kila mtu anataka mwenzie afanye. Na mwendelezo ndio huohuo hata kwa wanaotakiwa kuchukua jukumu la kutoa maamuzi ya kushitaki hawa watuhumiwa!

Ni maoni yangu tuuuu!
 
. We need somebody to make him talk baada ya hapo anyongwe plus hao washirika wake but not Jakaya Kikwete kwani wamemkamata pabaya na huo ufisadi ndio chanzo cha utajiri wake!!

Why not JK? He should the first one to go to the gallows!
 
Pia baba yake DR Hosea ndie aliemsomoshe Nimrod Mkono kupitia nafasi aliyekuwa nayo katika kanisa la kisabato ,kwa hiyo hawa wanasheria wa enzi hizo wanakamtandao kao akina Mkono,Hosea,Masaba,Chenge na mpwa Felesi.
 
Back
Top Bottom