Sex...

Hivi theory ya sex imeishia wapi? ni sawa tule kuzaa tu au hata viburudisho?

leo ni mkesha wa wakulima wote duniani, kilimo kwanza watoto badae
 
Hivi theory ya sex imeishia wapi? ni sawa tule kuzaa tu au hata viburudisho?

leo ni mkesha wa wakulima wote duniani, kilimo kwanza watoto badae


MTM baada ya kilimo kifuatacho kwenye luninga ni nini sasa kama sio kiburudisho
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: “Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?“

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

Lizzy,

Umekosea kulundika viumbe wote kwenye kapu moja...Kwa wanyama aina ya primates (Binadamu na jamii ya sokwe), sex is also for pleasure!!

Ila kwa viumbe wote....sex inakuja baada ya mwili kupata mahitaji yote ya muhumu..no energy is invested in sex under stressful conditions...

Umeelewa mdogo wangu??
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: “Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?“

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

zangu mke wangu kazimaliza hivyo ninavyo viduchu kwa ajili ya watoto tu....
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: “Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?“

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

Yote hayo yasingekuwepo lizzy maana perception kuhusu sex imebadilika sana its more than kuzaliana! theries nyingi za zamani zimekuwa challenged
 
Are we talking about "sexual feeling" or "sexual healing" here? or is it sex as a reproduction tool? or sex as leisure? or is it sex as business? oooh oh, may be sex as being sexy? mnhhh or animal sex? or just simply being sexy? or fetish sex? mnh mnh, may be maniacal sex? or is it as in kamasutra? aaah, aaah, may be as in perfumed garden? is it missionary or dogy sex?

Couldn't figure it out! Help, sexual explanation needed.

hahahahahaaaaaaaaaha lolz.

sikupendi kule kwenye siasa ila hapa nakupenda bure kama mi mkora alivyocheza na tunduliza mziki akasema huwa wanashindana kwa hoja kule bungeni lakini wakitoka nje wanashikana mkono
ulinifuraisha zaidi kwenye ile hota uliyosema unapenda mwanaume aliyechongoka nyuma uchezee hata hilo hijabu lako imebidi nilivue na inaoneka kwenye kamasutra we mkari aise
 
Ni kweli kabisa kuwa sex was meant for reproduction without which is unnecessary and abuse, kufanya sex ni kumsaidia Mwenyezi Mungu katika kuendeleza uumbaji...uumbaji ni tendo linalohitaji concentration ya hali ya juu ambayo mwanamume huwa nayo wakati wa kumwaga shahawa(ejaculation) ndiyo sababu kiumbe chochote hata mbwa anapokuwa kwenye tendo huwa kama zoba,maana yake concentration yoote inakuwa kwenye kuumba na hii hutokea automatically tu.
 
i second this! mawazo yangu ,msimamo wangu!!



I love sex to the core, and no matter how primitive and "defunct" it is, i would not trade it with any pleasure in this world!![/QUOTE]
 
Kuna vitu fulani basic, kama hayo mambo ya reproduction.

Society ikishaweza kufikia mahitaji yake basic (kama kuzaliana bila ya kuwa na a high infant mortality rate) inaanza kuangalia some other higher goals kama katika Maslow pyramid.

Kujibu maswali yako.

kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!

The question is artificial in that it assumes an unattainable consensus. But even if you ignore that, the premise of the question bila kusudio la kupata mtoto is forbidden by the framework of the original assumption "kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu".

Basically ulichosema hapa ni sawa na kusema "kama wote tungekuwa tunaishi na dhana ya kwamba nyama haifai kuliwa, watu wangetafuta nyama ?
If a, then not b, if b, then not a, you can't have it both ways. Swali limejijibu kutokana na msingi uliotupa mwanzo.

2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!

The same applies.

3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!

It depends on what do you mean by "hawawaridhishi". Kama unamaanisha kuridhishwa kusikohusisha kupata mtoto, the same applies.

Vinginevyo, wanawake ambao wangekuwa hawapati watoto nao wangeweza kusema "hawaridhishwi" na kwenda kutafuta watoto kwingine.

4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!

Nguvu za kiume zinaweza kwisha tu bila kujali kwamba jamii inaishi kwa kuambatanisha maisha ya kijamii na kutaka watoto tu ama la. Nguvu za kiume ni zao la baiolojia na saikolojia, labda kama una some kind of euphemism hapa.
 
Ni kweli kabisa kuwa sex was meant for reproduction without which is unnecessary and abuse, kufanya sex ni kumsaidia Mwenyezi Mungu katika kuendeleza uumbaji...uumbaji ni tendo linalohitaji concentration ya hali ya juu ambayo mwanamume huwa nayo wakati wa kumwaga shahawa(ejaculation) ndiyo sababu kiumbe chochote hata mbwa anapokuwa kwenye tendo huwa kama zoba,maana yake concentration yoote inakuwa kwenye kuumba na hii hutokea automatically tu.

Mwenyezi mungu unamsaidia katika uumbaji kwa sababu yeye mwenyewe hawezi kufanya uumbaji au vipi? Kazidiwa na kazi mpaka anahitaji msaada wako katika uumbaji au vipi?
 
Sex ndio mpango mzima, its for fun, for pleasure and for other purposes ikiwamo kuzaliana! USIACHE KUSEX LIZZY... LABDA KAMA HUJIPENDI!
 
Kwenye evolution theories tumesoma kuwa tendo la ndoa(mapenzi) ni kwa ajili hasa ya kuzaliana na kuongeza viumbe. Hii ipo kwenye mimea na hata wanyama. Tukichimba mbali zaidi tunaambiwa sex was a product of a historic accident or product from creator. Carl Zimmer: "Sex is not only unnecessary, but it ought to be a recipe for evolutionary disaster. For one thing, it is an inefficient way to reproduce.... And sex carries other costs as well.... By all rights, any group of animals that evolves sexual reproduction should be promptly outcompeted by nonsexual ones. And yet sex reigns... Why is sex a success, despite all its disadvantages ?"

Lizzy soma shule umalize halafu nijulishe umemaliza vizuri baada ya hapo nikumbushe juu ya hii mada yako ambayo ni nyeti sana halafu nitakuelekeza cha kufanya kama kweli wataka majibu ya maswali yako yaliyojaa hekima kibao................lol

Sex is-WAS not supposed to be fun thing to do ! Female orgasm is useless in evolution ila male orgasm ni muhimu ili waweze kupenyesha mbegu na kuchavusha yai la kike.

Sasa maswali yangu yanakuja...kama wote tungekua tunaishi na hii dhana ya kwamba sex ni kwa kusudio la kuzaliana tu 1.je watu wangekua wanahangaika kuitafuta ndani na nje ya ndoa/mahusiano bila kusudio la kupata mtoto?!
2.Je watu wangekua wanatoa mimba?!
3.Wanawake wangelalamika kwamba waume zao hawawaridhishi mpaka kufikia kutoka nje ya ndoa?!
4.Nguvu za kiume zingewaishia wababa?!
 
Ndio tofauti kati ya mnyama na binadamu!! Mbwa, au Ng'ombe kwa mfano hawafanyi hiyo kitu bila kuwa kwenye tarehe zitakazoruhusu Mimba kutungwa. Ndio mwisho wao wa kufikiri huo. Lakini kutokana na uwezo mkubwa alopewa binadamu wa kutawala mazingira na vyote vilivyomo ndio maana tumegundua kwamba haya Majitu tulowekewa yanaweza kutupa burudani ya pekee na ndivyo ilivyo. Au unabisha? Wewe hujagundua hilo? Kama hujapata wa kukuthibitishia hilo kwa matendo.... nitafute.
Si wanyama wote na nafikiri si binadamu wote. Nimewahi kuona "documental" kuhusu maisha ya sokwe/nyani. Duh! hawa viumbe hatari, sex kwao ni kama uraibu na mara nyingi huitumia kama "social act" na pengine hata njia ya kutatua migogoro yao. Vivyo hivyo na ndege (kuku wakiwa mfano).
Sijui hizi theory zilianza kutolewa lini, lakini ama vitabu vya dini vilichukua kutoka theories hizi au watoa theory walichakachua toka vitabu vya dini.
Sex is an essential stage in reproduction, but not the only objective. Mawazo yangu na kwa mimi ni kama "theory" yangu, "ngono ni kwa ajili ya burudani, mengine yote baadaye".
 
Back
Top Bottom