Mc Tilly Chizenga kwa hiyo unataka niingie kwenye ndoa kwa gear ya ufake?
mie naona kama ataniona hivo he is not man enaf to be with Erotica Erocious. to hell with him.
tuachane na huyo wewe vipi upo interested? jua bado sijapata, still seching.
Saint Ivuga hakuna mtu anaruhusiwa kuchukua tunda langu. Nikiridhia unakula but unaliacha
hapo hapo. hata akisepa sio shida kwangu mana sidhani kama nitataka wa kutia kambi kama kaja tu kula.
afta al mie mlaji mzuri pia, ingawa kwa mtindo wa kumung'unya taratibu hadi point ya myeyusho.
nisha fikisha 29, ningekupa but ndio hivo tena wa 30 ni mume wa kuishi na kuzaa nae.