mwanamasala
JF-Expert Member
- Jun 20, 2009
- 248
- 12
Tumeona Tiger Woods na vimada wake.Jee hii ni Sex Addiction?Ni ugonjwa?Maana najaribu kufikiria mtu wa hadhi yake kwa nini afanye mambo haya?Hakujua kuwa kwamba atagundulika?Angekuwa bachelor isingekuwa tatizo,lakini ana mke na watoto 2!!!!!!!!!!!!!!!!hakuogopa ukimwi na magonjwa ya zinaa?
Mpaka sasa sijapata jibu!Au pesa nyingi ni mkosi?Anafuatia kama African americans wengine waliofall from grace!Michael Jordan,Mike Tyson,Mr Vick(anayechezea mbwa) na Michael Jackson?
Mpaka sasa sijapata jibu!Au pesa nyingi ni mkosi?Anafuatia kama African americans wengine waliofall from grace!Michael Jordan,Mike Tyson,Mr Vick(anayechezea mbwa) na Michael Jackson?