SEX: A taboo for wana Jamii Forums? Just thinking out loud!!

Mmmmmhh........ngoja sie wengine tupite tu! Ila kumbukeni kuwa mbio za sakafuni huishia ukingoni na vilevile mfa maji haishi kutapatapa! Jamani simtusi mtu.......nikipata mwaliko nitarudi tena internet cafe nipate kutupia comment nyingine! Lol
 
queenkami

Vinifurahishavo ni vingi. SEX ni kipengele tu cha yale yanayonifurahisha. Week ina

siku 7 ikiwa na Masaa 124. Ni mangapi natumia kuzungumzia sex? unadhani mimi kauzu?

unadhani kwa nini situmii ID yangu ya siku zote? sababu ya uzumbukuku na kujifanya

kujua kwa members kwa kujiona watukufu kwa kutokuongelea tu SEX. Waende zao kulee!

No wonder UKIMWI unaongeza kasi. watu hawataki kuongea wanataka ku do tu!

Word well said. Watu wanapenda yafanyikayo gizani ambayo hayatii utukufu
 
Last edited by a moderator:
Mie naendelea kumulika humu kama kuna mwanngu kachangia huu uzi, nimcharaze bakora..................! Mi sipendagi haya mambo yenyu ya SEX.............. tena wewe Erotica unanikera kweli kwa kutuharibia wenetu..............
:A S-frusty:Lione vile................LOL
 
Last edited by a moderator:
Mara Erotica ana pepo la ngono. Mara ooh mtu gani topic zote ziwe za ngono. oooh inabidi aombewe.
Waangalie kule!! Siachi! SEX is my Brand name. And Erotica Erocious my name.

I am wandaring, wangapi hapa hawawazi kuhusu ngono hapa na pale? Wangapi mabikira hawajawahi
onja kabisa? Wangapi hawana wapenzi/washirika ngono hapa? Kwanini ni waoga hivo wa kutoa hoja
zenyu? kwa nini mtajivisha utukufu na halil mmejifisha kwenye hizo avatars za oungo na ukweli?
Niigeni mimi, picha ni yangu, jina ni langu, na mawazo ni yangu. haya ninayowakilisha haypo jamii yenyu?

Hivi kumbe ni ajabu sana mtu kuongelea SEX na kuomba ushauri? Hili somo la Sex ni taboo?
Enyweyz leo nina furaha sana. Boi frend wangu kapona, we are in it for a whole weekend. TGIF!


Mwaaaaah. :A S kiss:

all the best and enjoy. i envy you. usije ukamvunja nanihii yake tena
 
Sio kweli unawakilisha tu...Deep down u like it saana,u can not so obvious talk of something u dont like!! I dont question ur interest in loving sex because infact i like it as wel ila napata utata pale unapojivua "nawakilisha ambao hawawezi kufunguka mawazo yao, mara nisingetoa hii Topic nani angeitoa"
Otherwise SEX is awesome with ryt person!!!
 
Mie naendelea kumulika humu kama kuna mwanngu kachangia huu uzi, nimcharaze bakora..................! Mi sipendagi haya mambo yenyu ya SEX.............. tena wewe Erotica unanikera kweli kwa kutuharibia wenetu..............
:A S-frusty:Lione vile................LOL


Huyo mwanao ulimpata vipi mzee Mtambuzi? teh teh teh.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom