Mc Tilly Chizenga
JF-Expert Member
- Feb 7, 2012
- 4,641
- 3,675
Nimeku pm papie.
Ero,sijaiona pm mpaka mda huu!au imekosea njia imeenda kwa ndahani!lol!
Nimeku pm papie.
Aseeeee!!
Duh!!
:baby:
queenkami
Vinifurahishavo ni vingi. SEX ni kipengele tu cha yale yanayonifurahisha. Week ina
siku 7 ikiwa na Masaa 124. Ni mangapi natumia kuzungumzia sex? unadhani mimi kauzu?
unadhani kwa nini situmii ID yangu ya siku zote? sababu ya uzumbukuku na kujifanya
kujua kwa members kwa kujiona watukufu kwa kutokuongelea tu SEX. Waende zao kulee!
No wonder UKIMWI unaongeza kasi. watu hawataki kuongea wanataka ku do tu!
Ero,sijaiona pm mpaka mda huu!au imekosea njia imeenda kwa ndahani!lol!
Hahahaha, Shem umenichekesha sana. How are you lakini?Orait mi nilidhani kuwa ni taboo kwa wanaJF kufanya sex....
Mkuu nani kakupa ruhusa ya kuweka picha ya Lizzy na Nyani Ngabu ?
Mara Erotica ana pepo la ngono. Mara ooh mtu gani topic zote ziwe za ngono. oooh inabidi aombewe.
Waangalie kule!! Siachi! SEX is my Brand name. And Erotica Erocious my name.
I am wandaring, wangapi hapa hawawazi kuhusu ngono hapa na pale? Wangapi mabikira hawajawahi
onja kabisa? Wangapi hawana wapenzi/washirika ngono hapa? Kwanini ni waoga hivo wa kutoa hoja
zenyu? kwa nini mtajivisha utukufu na halil mmejifisha kwenye hizo avatars za oungo na ukweli?
Niigeni mimi, picha ni yangu, jina ni langu, na mawazo ni yangu. haya ninayowakilisha haypo jamii yenyu?
Hivi kumbe ni ajabu sana mtu kuongelea SEX na kuomba ushauri? Hili somo la Sex ni taboo?
Enyweyz leo nina furaha sana. Boi frend wangu kapona, we are in it for a whole weekend. TGIF!
Mwaaaaah. :A S kiss:
mimi bikra nitasema nini sasa?
Mie naendelea kumulika humu kama kuna mwanngu kachangia huu uzi, nimcharaze bakora..................! Mi sipendagi haya mambo yenyu ya SEX.............. tena wewe Erotica unanikera kweli kwa kutuharibia wenetu..............
:A S-frusty:Lione vile................LOL
Hahahaha, Shem umenichekesha sana. How are you lakini?