Solomon David
JF-Expert Member
- Mar 1, 2009
- 1,148
- 16
Nimesoma comments kibao sana hapa JF kuhusu mgomo wa wanafunzi wa UDOM. Kuna theme moja nimeiona inashika moto hapa JF kuwa wanafunzi wa UDOM ni wana CCM. You know what, hata mimi nilikuwa nadhania hivyo just few months ago.
Kulikuwa na habari kibao kuhusu wana UDOM wakienda kukutana na viongozi wa ccm Dodoma. Kuna ile habari ya kumchangia Kikwete. Kuna ile story ya kupondea wabunge wa CHADEMA. Etecetera.
Kwangu mimi, kilichofanya nidhanie kuwa wana UDOM wengi wanaunga mkono CCM, ni malamiko yalikuwa yanatolewa na wanaharakati wanafunzi kwenye vyuo vingine (hasa UDSM) kuwa wana UDOM hawako tayari kuwaunga mkono kwenye movement yoyote ile ya kudai haki zao. Pia, ile misemo iliyokuwa inabandikwa hapa mara nyingi kuwa JK anakipenda UDOM kuliko UDSM ilifanya niamini kuwa kuna some kinda training camp inaendelea (kama enzi zile za usoviet).
You know what, niliwahi kupata mtizamo huo kuhusu watanzania waishio UK. Kuna wakati nilidhani kuwa watanzania wengi (kama sio wote) walioko UK ni wana ccm. Heck .. think about it - kuna Maina Owino, Gametheory, Mtanzania, Mzee, etc. Ukisoma michuzi etc utadhani kuwa watanzania walioko UK kazi yao ni kufungua matawi ya ccm kila kukicha ---- until ukienda UK.
Sometimes this year (wakati wa graduation kibao za UK) nilimtembelea cousin yangu UK. Nilikutana na watanzania kwa kiwango kikubwa ambao walikuwa wanasherehekea graduation zao au za marafiki. Katika sherehe hizi, topic kubwa ilikuwa chaguzi za Tanzania. Nilishangaa sana kuona kuwa watanzania wengi UK sio wana ccm. Kuna idadi kubwa ya wana CUF, na kuna idadi kubwa tu ya wana CHADEMA. Nilicheka sana kusikia msemo wa ccm maslahi (wanaojiunga ccm ili wafaidike).
Back kwenye topic, hii experience ya UK, imenifanya nipose kidogo kufikiria kuhusu wadogo zetu wa UDOM. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa kuna vocal ccm members kama 200 ambao wanafanya kile chuo kionekane kama mali ya CCM. Jiulize swali moja, kati ya wanafunzi maelfu wa UDOM, je ni wangapi walimchangia Kikwete? je ni wangapi waliipondea CHADEMA? je ni wangapi wanavaa tisheti na kofia za CCM?
Ukichunguza kwa makini, utagundua kuwa hiyo namba sio kubwa. Just like Maina Owino na wenzake wa London watakavyokufanya uamini kuwa UK nzima ni CCM, some guys UDOM wamefanya wengi hapa (mimi nikiwemo) tudhani kuwa UDOM nzima ni wana ccm.
Hata hivyo, hata kama wangekuwa ni wanaccm, walichokifanya jana ni kitendo cha ujasiri mkubwa. Wamemuonesha Kikula kuwa, wanaweza kuongea ukweli kwa mamlaka. Watapoteza mengi lakini wamefungua njia kubwa sana kwa future generation ya wana UDOM.
Na kwa hili... ninawapa pongezi.
Kulikuwa na habari kibao kuhusu wana UDOM wakienda kukutana na viongozi wa ccm Dodoma. Kuna ile habari ya kumchangia Kikwete. Kuna ile story ya kupondea wabunge wa CHADEMA. Etecetera.
Kwangu mimi, kilichofanya nidhanie kuwa wana UDOM wengi wanaunga mkono CCM, ni malamiko yalikuwa yanatolewa na wanaharakati wanafunzi kwenye vyuo vingine (hasa UDSM) kuwa wana UDOM hawako tayari kuwaunga mkono kwenye movement yoyote ile ya kudai haki zao. Pia, ile misemo iliyokuwa inabandikwa hapa mara nyingi kuwa JK anakipenda UDOM kuliko UDSM ilifanya niamini kuwa kuna some kinda training camp inaendelea (kama enzi zile za usoviet).
You know what, niliwahi kupata mtizamo huo kuhusu watanzania waishio UK. Kuna wakati nilidhani kuwa watanzania wengi (kama sio wote) walioko UK ni wana ccm. Heck .. think about it - kuna Maina Owino, Gametheory, Mtanzania, Mzee, etc. Ukisoma michuzi etc utadhani kuwa watanzania walioko UK kazi yao ni kufungua matawi ya ccm kila kukicha ---- until ukienda UK.
Sometimes this year (wakati wa graduation kibao za UK) nilimtembelea cousin yangu UK. Nilikutana na watanzania kwa kiwango kikubwa ambao walikuwa wanasherehekea graduation zao au za marafiki. Katika sherehe hizi, topic kubwa ilikuwa chaguzi za Tanzania. Nilishangaa sana kuona kuwa watanzania wengi UK sio wana ccm. Kuna idadi kubwa ya wana CUF, na kuna idadi kubwa tu ya wana CHADEMA. Nilicheka sana kusikia msemo wa ccm maslahi (wanaojiunga ccm ili wafaidike).
Back kwenye topic, hii experience ya UK, imenifanya nipose kidogo kufikiria kuhusu wadogo zetu wa UDOM. Kuna uwezekano mkubwa tu kuwa kuna vocal ccm members kama 200 ambao wanafanya kile chuo kionekane kama mali ya CCM. Jiulize swali moja, kati ya wanafunzi maelfu wa UDOM, je ni wangapi walimchangia Kikwete? je ni wangapi waliipondea CHADEMA? je ni wangapi wanavaa tisheti na kofia za CCM?
Ukichunguza kwa makini, utagundua kuwa hiyo namba sio kubwa. Just like Maina Owino na wenzake wa London watakavyokufanya uamini kuwa UK nzima ni CCM, some guys UDOM wamefanya wengi hapa (mimi nikiwemo) tudhani kuwa UDOM nzima ni wana ccm.
Hata hivyo, hata kama wangekuwa ni wanaccm, walichokifanya jana ni kitendo cha ujasiri mkubwa. Wamemuonesha Kikula kuwa, wanaweza kuongea ukweli kwa mamlaka. Watapoteza mengi lakini wamefungua njia kubwa sana kwa future generation ya wana UDOM.
Na kwa hili... ninawapa pongezi.