kinachofanya server kuwa server ni sofware sio hardware. Hata laptop na desktop ya kisasa inaweza kuwa server ikapiga mzigo fresh inategema ni software gani, user wangapi zinatakiwa kubebwa.
Otherwise wasiliana na sales represntativi wa HP au google Proliant server ucheki may be
- ML series kama unatafuta Micro or Mid server.
- blade system kama unatafuta rack mountable na server kubwa kubwa.
Lakini kumbuka watu wa masoko wanaweza kuuuzia ngo'mbe kumbe wewe kwa mahitaji yako ulihitaji mbuzi. So better clear application gani unayotaka ifanye kazi kwenye hiyo server au ni hardware za kuhandle server application za aina gani hasa unataka kuwa nazo.
- Database server
- Application server
- webserserver
- Mail server
- etc
Siyo dola 10000 tu mdau,Ninayotumia mimi its more than 54,000,000tshMkuu haujasema unahitaji server ya aina gani na yenye specifications gani kuna server zinafika hadi dola 10,000
Nijulishe kama kunauwezekano wa kupata kwa hapa Tanzania, Dataserver nijulishe kwa 0655540149Siyo dola 10000 tu mdau,Ninayotumia mimi its more than 54,000,000tsh