Naamini serikali yetu inawajali sana wananchi wake na inawataka wote wawe na maisha bora. Ningeomba lau iwe inawapa wananchi maskini hasa wa vijijini walau elfu hamsini kila baada ya miezi mitatu.
Wananchi wa mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Morogoro etc ni baadhi ya sehemu za nchi hii ambapo watu waishi kwenye lindi kubwa la umaskini. Ukosefu wa maji na miundombinu mingine ni katika mambo yanayowatesa wananchi hawa. Ningependekeza serikali ipange miaka mitano ya majaribio ya zoezi.
Nchi za wenzetu, tena nyingine hazina rasilimali yeyote kuizidi TZ wanaweza, kwani wao waweze wana nini na sisi tusindwe tuna nini?
Nategemea bajeti ya mwaka ujao itapunguza matumizi kwenye wizara na kuwafikia wananchi kwa kuwasubsidize wasiojiweza.
Wakatabahu!
Wananchi wa mikoa ya Dodoma, Singida, Shinyanga, Morogoro etc ni baadhi ya sehemu za nchi hii ambapo watu waishi kwenye lindi kubwa la umaskini. Ukosefu wa maji na miundombinu mingine ni katika mambo yanayowatesa wananchi hawa. Ningependekeza serikali ipange miaka mitano ya majaribio ya zoezi.
Nchi za wenzetu, tena nyingine hazina rasilimali yeyote kuizidi TZ wanaweza, kwani wao waweze wana nini na sisi tusindwe tuna nini?
Nategemea bajeti ya mwaka ujao itapunguza matumizi kwenye wizara na kuwafikia wananchi kwa kuwasubsidize wasiojiweza.
Wakatabahu!