mchapa shughuli
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 549
- 422
wanatengeneza vipodozi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwaka huu tunaokaa dar tutakoma. Jaman tumewakosea nn?Wanaume wa Dar wanakazi sana kama wanakula chips hizo!
Achana na hao walugaluga! Wanuka vikwapaMwaka huu tunaokaa dar tutakoma. Jaman tumewakosea nn?
Maana watu wanadis kichiz.. Sasa ili kuthibitisha kua sisi wa dar mapimbi wawalete dada zao na madem zao waje watufanyie vipimo...Achana na hao walugaluga! Wanuka vikwapa
Kwa skendo za huku uswazi ni kwamba futa la trans ukichanganya na la kupigia unaweza ukakaanga gunia zima kwa lita tano tu....
Tusifanganyane eti wanakaangia chipsi, sio kweliTransformer
Ukweli ni hivi!! Mafuta ya Kula Grade one (yanoyotokana na Katanga.alizet etc) ndio yanayotumika kwenye Transformer za Umeme.Haya mafuta kama utayatumia kukaangia chakula ayatengenezi weusi(Haya grade nyingine baada ya siku chache chips zinakuwa nyeusi...Yale ya transformer ayachafui chips au kuku ata miezi mitatu!!hii ndo sababu
Naskiaga ule unene wa kibwanyenye madem kuwa na mijitumb mikubwa.. Wanaume mataizo katka kupiga game ndo matatizo watu wanayodai kua yanasababishwa na mafuta ya trans.. Also kuna skendo niliskia kua hayo mafuta yakigusa mashine ujue ndo haisimami dede tena..Hivi hayo mafuta sio sumu yanapokaangia chips?
labda huenda yanatumika kama k-y jelly ndo maana imekuwa siri