unafanya kazi ya kulima au kubeba vitu vizitoooo.I see, ni mara ya kwanza naleta tatizo langu kwenu wakuu.
Nina matatizo ambayo nahitaji ushauri wa haraka au wa kina ikiwezekana,.
Najisikia uchovu wa hali ya juu... Najisikia kucha kila aina ya kazi... Natamani kupumzika japo siku tatu tu niweze kurejea katika hali yangu ya kawaida.
Ugumu:
Nahitaji kuzima simu, kuwa mbali na pc kuwa mbali na familia yangu kabisa na kukaa alone kwa muda huo.
Si rahisi kuwambia familia kuwa nawaacha kwa muda huo, nahisi watajisikia vibaya.
Si rahisi kukaa mbali na JF, nikifanya hivyo nafsi inakuwa inanisuta all the times.
Si rahisi kuwaacha kwenye mataa makampuni manne ambao wameniajiri na kazi zao kulala siku moja kwao wanaona kama ndo mwisho wa makampuni yao (ilhali kuna wataalam wengi lakini wananikomalia).
Sina hamu na pesa zao hata kama wanasema wanavunja mkataba nami kwani mwili hauwezi kuvumilia hali niliyo nayo kwa sasa... Yani niko tayari kuacha na kupumzika liwalo na liwe.
Mbaya zaidi:
Nikiwa naendesha gari natamani kutokanyaga hata mafuta wala breki kwani nahisi vinanichosha mwili tu, nikiwa mbele kwenye foleni ya magari najikuta nimekuwa mwingi wa mawazo hata taa zikiruhusu nisipopigiwa kelele na wenzangu kushtukia inakuwa tatizo.
Je, wakuu nifanye nini???
Oh,
Asante mkuu BelindaJacob,
Nalilia kupumzika... Nahisi ndo suluhisho. Tatizo ni vipi nifanye? Baadae nahisi tatizo jingine labda ni la kisaikolojia na wala si uchovu.
Laba niseme zaidi:
Nina watoto 8 mpaka sasa (Nyumbani Tanzania) ambao hawana wazazi (yatima) na wengine wana wazazi lakini uwezo uko chini ninaowasomesha na sidhani kama inawezekana kupita dakika bila kuwawazia, hawa sidhani kama unaweza kunishauri kuwa niwabwage! Sintokusikiliza...
Hii hali inanitatiza SANA mpaka nafikia hatua ya kusema mbele zenu wakuu, kama kuna ambaye anaweza kunishauri kama kuna cha kunywa ama kula kunifanya nirejee kwenye form basi naomba sana anipe ushauri...
Hizo kampuni ninazozifanyia kazi ni kuwa nafanya kazi ya aina moja kwa wote isipokuwa kampuni tatu zimeridhia kuniacha nibaki kwa mwajiri wa mwanzo zenyewe zinatuma kazi zake kwa njia tofauti na wakti mwingine kuleta ofisini kwangu physically.
Mkuu vipi tatizo limeisha????I see, ni mara ya kwanza naleta tatizo langu kwenu wakuu.
Nina matatizo ambayo nahitaji ushauri wa haraka au wa kina ikiwezekana,.
Najisikia uchovu wa hali ya juu... Najisikia kucha kila aina ya kazi... Natamani kupumzika japo siku tatu tu niweze kurejea katika hali yangu ya kawaida.
Ugumu:
Nahitaji kuzima simu, kuwa mbali na pc kuwa mbali na familia yangu kabisa na kukaa alone kwa muda huo.
Si rahisi kuwambia familia kuwa nawaacha kwa muda huo, nahisi watajisikia vibaya.
Si rahisi kukaa mbali na JF, nikifanya hivyo nafsi inakuwa inanisuta all the times.
Si rahisi kuwaacha kwenye mataa makampuni manne ambao wameniajiri na kazi zao kulala siku moja kwao wanaona kama ndo mwisho wa makampuni yao (ilhali kuna wataalam wengi lakini wananikomalia).
Sina hamu na pesa zao hata kama wanasema wanavunja mkataba nami kwani mwili hauwezi kuvumilia hali niliyo nayo kwa sasa... Yani niko tayari kuacha na kupumzika liwalo na liwe.
Mbaya zaidi:
Nikiwa naendesha gari natamani kutokanyaga hata mafuta wala breki kwani nahisi vinanichosha mwili tu, nikiwa mbele kwenye foleni ya magari najikuta nimekuwa mwingi wa mawazo hata taa zikiruhusu nisipopigiwa kelele na wenzangu kushtukia inakuwa tatizo.
Je, wakuu nifanye nini???
Pole Mkuu,
Ukiona hivyo ujue mother nature anakukumbusha tu kwamba mwili siyo machine isiyopumzika hata kwa maintenance.Unahitaji kuupumzisha mwili wako uweze kujikarabati wenyewe hata kama hauumwi kiasi cha kwenda kumshtakia daktari.
Jitahidi mara moja moja kujipa off hata ya siku moja kwa mwezi, miezi miwili kadri utakavyoona; chukua likizo ya angalau wiki mbili kwa mwezi - ukae mbali na shughuli zako za kila siku na ufanye vitu tofauti na ulivyozoea kila siku.
Njia nzuri sana za kujikarabati kimawazo na hata kimwili ni pamoja na - shughuli za bustani za maua au mbogamboga kama hauishi maghorofani - apartments.Pia unaweza kuogelea,kucheza golf,kuimba,kucheza muziki,kukimbia, kujisomea kitabu kizuri, kusafiri kwenda mbuga za wanyama n.k.Usimsahau my wife wako kwenye safari hizo kama utapanga LOL.
I see, ni mara ya kwanza naleta tatizo langu kwenu wakuu.
Nina matatizo ambayo nahitaji ushauri wa haraka au wa kina ikiwezekana,.
Najisikia uchovu wa hali ya juu... Najisikia kucha kila aina ya kazi... Natamani kupumzika japo siku tatu tu niweze kurejea katika hali yangu ya kawaida.
Ugumu:
Nahitaji kuzima simu, kuwa mbali na pc kuwa mbali na familia yangu kabisa na kukaa alone kwa muda huo.
Si rahisi kuwambia familia kuwa nawaacha kwa muda huo, nahisi watajisikia vibaya.
Si rahisi kukaa mbali na JF, nikifanya hivyo nafsi inakuwa inanisuta all the times.
Si rahisi kuwaacha kwenye mataa makampuni manne ambao wameniajiri na kazi zao kulala siku moja kwao wanaona kama ndo mwisho wa makampuni yao (ilhali kuna wataalam wengi lakini wananikomalia).
Sina hamu na pesa zao hata kama wanasema wanavunja mkataba nami kwani mwili hauwezi kuvumilia hali niliyo nayo kwa sasa... Yani niko tayari kuacha na kupumzika liwalo na liwe.
Mbaya zaidi:
Nikiwa naendesha gari natamani kutokanyaga hata mafuta wala breki kwani nahisi vinanichosha mwili tu, nikiwa mbele kwenye foleni ya magari najikuta nimekuwa mwingi wa mawazo hata taa zikiruhusu nisipopigiwa kelele na wenzangu kushtukia inakuwa tatizo.
Je, wakuu nifanye nini???