Mimi ni dada naishi na kufanya kazi Dar es Salaam, natafuta rafiki/mchumba mwenye umri 33-40 ambaye baadae atakuwa mume wangu. Nahitaji mwanaume ambaye ni muaminifu, mkweli, mwenye hofu ya mungu ambaye mwenye uhitaji kama wangu.
Elimu yake iwe kuanzia degree na kuendelea, awe ameajiliwa/kujiajiri, mkristo, kabila yoyote. Akiwa hana mtoto itapendeza zaidi, akiwa naye mmoja sio mbaya.
Akiwa anaishi DSM itapendeza zaidi.
Wasifu wangu
Umri : 32 yrs
Elimu: Degree
Kazi: Muajiliwa
Dini: Christian (RC)
Sijawahi kuolewa na sina mtoto.
Niko very serious on this issue, hivyo nategemea kupata PM kutoka kwa ambaye yuko serious kama mimi. NO JOKES PLEASE.
Elimu yake iwe kuanzia degree na kuendelea, awe ameajiliwa/kujiajiri, mkristo, kabila yoyote. Akiwa hana mtoto itapendeza zaidi, akiwa naye mmoja sio mbaya.
Akiwa anaishi DSM itapendeza zaidi.
Wasifu wangu
Umri : 32 yrs
Elimu: Degree
Kazi: Muajiliwa
Dini: Christian (RC)
Sijawahi kuolewa na sina mtoto.
Niko very serious on this issue, hivyo nategemea kupata PM kutoka kwa ambaye yuko serious kama mimi. NO JOKES PLEASE.