Rahajipe
Senior Member
- Oct 29, 2012
- 165
- 63
Kwa muda nimekuwa katika uzi huu na kugundua kuwa ni sehemu ambayo inapitwa na watu wenye upeo mzuri juu ya maisha ya kila siku. Mimi ni mwanaume lijari ambaye nina mke na watoto wawili, nimepata kuajiriwa serikalini na katika mashirika ya kimataifa kwa zaidi ya miaka kadhaa, na sasa nipo kwenye private sectors (self employed). Pamoja na hayo kutokana na sababu binafsi nahitaji kupata mwanamke mweenye wasifu zifuatazo (Hasa kwa hawa ambao wamekuwepo humu kwenye forums kwa muda sasa):
Awe na umri kati ya 25-35
Awe na elimu kuanzia Form 6 na kuendelea
Ameajiriwa (awe na kipato cha kukidhi mahitaji, utajiri si kigezo sana)
Awe single, ameachika, anayejitegemea (mwenye motto anakaribishwa)
Awe na rangi ya asili (Sitaki mkorogo)
Mwenye urefu kuanzia ft 5 na kuendelea
Awe mpenda amani na mcha mungu.
Awe na figure ya kuridhisha ( Namba nane, sitaki mwenye nyama tumbo za kumwagika)
Ucheshi ni kigezo muhimu nacho.
Naleta hili kwenu kwa nia ya kweli na Yule ambaye yupo serious naomba anijibu moja kwa moja kupitia PM ili tufanye mahojiano binafsi. BROKEN HEART needs your FARAJA.
modes hold for moment on front page this thread
Awe na umri kati ya 25-35
Awe na elimu kuanzia Form 6 na kuendelea
Ameajiriwa (awe na kipato cha kukidhi mahitaji, utajiri si kigezo sana)
Awe single, ameachika, anayejitegemea (mwenye motto anakaribishwa)
Awe na rangi ya asili (Sitaki mkorogo)
Mwenye urefu kuanzia ft 5 na kuendelea
Awe mpenda amani na mcha mungu.
Awe na figure ya kuridhisha ( Namba nane, sitaki mwenye nyama tumbo za kumwagika)
Ucheshi ni kigezo muhimu nacho.
Naleta hili kwenu kwa nia ya kweli na Yule ambaye yupo serious naomba anijibu moja kwa moja kupitia PM ili tufanye mahojiano binafsi. BROKEN HEART needs your FARAJA.
modes hold for moment on front page this thread