Ofisi ya Uchunguzi wa makosa makubwa ya kifisadi(SFO) imesema imeshindwa kumhusisha Mhe Chenge na tuhuma za rushwa katika ununuzi wa rada.
Majibu hayo yamekuja miezi michache baada ya TAKUKURU kusema kwamba nayo imeshindwa kumhusisha Chenge na tuhuma hizo. Kitendawili kimeteguliwa. Kumbe mzee wa vijisenti hakuhusika na rushwa katika mradi huo.
Ukweli umedhihiri, je Uongo utajitenga?
Majibu hayo yamekuja miezi michache baada ya TAKUKURU kusema kwamba nayo imeshindwa kumhusisha Chenge na tuhuma hizo. Kitendawili kimeteguliwa. Kumbe mzee wa vijisenti hakuhusika na rushwa katika mradi huo.
Ukweli umedhihiri, je Uongo utajitenga?