Serikali yetu na majumba ya kifahari!

Yeah, bado kuna mawaziri hawana nyumba kwa sababu serikali ya Mkapa iliamua kubinafsisha nyumba za serikali.
Kosa walifanya kujiuzia nyumba zetu na viongozi wa serikali ni lazima wapewe nyumba, sasa kinachonisumbua ni kwanini wasijenge nyumba za kawaida?
 
<font face="Lucida Console"><font color="sienna">Romania karibuu<img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/teeth.png" border="0" alt="" title="Teeth" smilieid="302" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/teeth.png" border="0" alt="" title="Teeth" smilieid="302" class="inlineimg" /><img src="/images/styles/JamiiForums/smilies/whoo.gif" border="0" alt="" title="Whoo" smilieid="322" class="inlineimg" /></font></font>
<br />
<br />
box la huko litakua si mchezo,acha tu niendelee kula bapa na vitimoto hapa hapa na vumbi hili na usanii wa wakuu.
 
...si waliuziwa nyumba wajameni....labda tuweke sheria na huyu anne asijiuzie......sinayeye anayo nyumba nyingine aliyonunuaga kwenye utumishi wa umma..?

sioni ubaya kuwa na official residents kwa ajili ya spika,jaji mkuu.,wakuu wa idara nyeti.,meya wa jiji etc..lakini wazuiwe wasijiuzie..please....

angalieni spika sitta ameondoka hadi na ofisi ya kifahari ya hadhi ya uspika urambo..tena iliyofunguliwa na Rais...
Sidhani kama kuna ubaya wowote viongozi kuwa na official residents lakini tatizo liko wapi wakijengewa kwenye kiwanja kidogo,nyumba ya kawaida bila swimming pool na furnitures kutoka hapa hapa nchini?

Hatuwezi kufanya mambo machache yasiyokuwa na tija kwa mwananchi wa kawaida tukajidanganya uchumi wetu umekuwa wakati wadogo zetu wanaendelea kukaa chini mashuleni na wagonjwa kuendelea kulala chini.
 
Nawewe ukipewa ka uongozi utakubali ulale kwenye nyumba za tembe
Kama wote hatuta kubali kulala kwenye nyumba za tembe kupitia ufisadi, vile vile tukubali kulala chini hospitali.
 
very painful!!!!!!!!!!!!!!!! hii amani wanayojivunia nayo ya kuiba mali ya umma na usema tanzania kuna amani, cjui kama itatufikisha popote, wakati utakuja ambapo hakuna mwananchi atakayekubali kuibiwa hela yake ya kodi kwa manufaa ya watu fulani. Mimi kama mimi uwa naomba cku hiyo ifike. Lakini la muhimu zaidi tuanzie kwenye umeme. Cna uhakiak kama hawa watu wa ngazi za juu huwa wanalipa hata bili ya umeme, na matokeo yake wale wasio hata na pasi ya umeme ndo wanalipa bili zote za watu wasiojua gas wala mkaa, wao ni umeme mtindo mmoja. Lini tutajikwamua?
 
P1030784.JPG




wodi.jpg

Hii ni hali katika hospitali zetu.Baadhi ya walipa kodi wakiwa wamelala au kukaa chini kutoka na uhaba wa vitanda na viti,sehemu ya pesa zao ndio zinatumika kujenga majengo ya kifahari.


Kwa sababu za kiusalama anayetembea eneo kama hilo lazima avae helmet au zana zingine zozote za kujikinga na hatari mbalimbali kama kudondokewa na tofali, msumari nk. Picha inaonyesha wengi wa waliofika(kutembelea eneo husika wamejitahidi kuvaa at least helmet kama kinga ya hatari na ajali zitokanazo na ujenzi isipokuwa wanawake.


Hivi wanawake hawaruhusiwi kuvaa helmet? Je walipewa wakakataa zitaharibu wigs siju weaving zao, au hakuna size yao?

Vinginevyo spika Makinda au msaidizi wake hawajali usalama, nahofu kama huwa wanafunga mikanda wanaposafiri kwa gari.
 
Kuna jamaa nilimsikia akisema huu ndio wakati wa kuvurunda na kuiliza serikali wakiingia watu makini kama Slaa watakaba mpaka kona!
Imagine ela zote izo zinajenga nyumba mara ya BOT mara ya speaker ofcourse plus 10 %
 
Kwa sababu za kiusalama anayetembea eneo kama hilo lazima avae helmet au zana zingine zozote za kujikinga na hatari mbalimbali kama kudondokewa na tofali, msumari nk. Picha inaonyesha wengi wa waliofika(kutembelea eneo husika wamejitahidi kuvaa at least helmet kama kinga ya hatari na ajali zitokanazo na ujenzi isipokuwa wanawake.


Hivi wanawake hawaruhusiwi kuvaa helmet? Je walipewa wakakataa zitaharibu wigs siju weaving zao, au hakuna size yao?

Vinginevyo spika Makinda au msaidizi wake hawajali usalama, nahofu kama huwa wanafunga mikanda wanaposafiri kwa gari.

Nadhani tatizo lipo kwa hao wahandisi, wao ndiyo wanaelewa mambo ya safety precautions..ilibidi wahakikishe kwa usalama wao wamevaa hizo helmets kabla ya kuingia site.
Lakini ndiyo tatizo la bongo..kujipendekeza/kusahau maadili kutokana na kupewa ulaji..maana hapo gharama tutaambiwa ni tu-billion kadhaa.
 
Anna Makinda hatakiwi kukagua ujenzi wa hiyo nyumba kwa sababu haitakiwi kujengwa kwa taste za Makinda, inatakiwa kujengwa kwa viwango vya kiserikali vinavyostahili spika yeyote yule.

Ina maana kesho na kutwa spika akiwa John Mnyika na yeye aseme nyumba hii ina kuta za pink na mandhari za kike kike maana ilijengwa kupendeza taste za Makinda, nataka nyingine, au?

Patamu hapo!
 
Hiyo nyumba inajengwa eneo gani? Sitoshangaa kama maji ya bomba hayafiki.
 
Sasa huyu mama sijui nae atajenga ofisi kule jimboni kwake kama 6. Hizi pesa ni kodi zetu, fanya mpango picha hii ionekana hata kwenye TV waswahili wengi waone labda wataamka.
 
Back
Top Bottom