Mara nyingine narudi jamvini kwakusema BOT Imevamiwa na mafisadi. Ndugu wa Tanzania amin msiamin Mpesa, tigopesa, zap,airtel money vinauwa mabank, nakwakuwa tunaserikal kipofu isio nawataalamu wameacha hali hii huku mabank yakiwa ktk hali ngumu. Nataka kusema pind watashituka tm out.