DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Wanafunzi hao walikwenda Ukraine kwa udhamini wa serikali au ki vyao?
....ndio wakaomba mikopo kama wengine. sasa,nadhani hoja hapa ni kutelekezwa.
kuhusu huyo balozi kama niliyaelewa vizuri maelezo...ni kuwa kashasaidia sana,kikomo kikafika!
mengine sijui!