Tume ya Katiba
JF-Expert Member
- Apr 6, 2012
- 4,896
- 1,862
Wadau kuanzia sasa hamtasikia neno semina elekezi tena maana serikali yetu sikivu imebadilisha jina
Akizungumza na waandishi wakati wa kutajwa majina ya wakuu wa mikoa Pinda alisema,
Tumetoa wiki moja, wakuu hawa wajiandae kwenda kwenye vituo vyao vya kazi, watatakiwa kuapa mbele ya mkuu wa mkoa halafu tutawapatia mafunzo kwa wiki mbili pale Dodoma tena nimewaambia watu wa Tamisemi wawape mtihani kabisa,
Alisema mafunzo hayo yatawahusisha pia wakuu wote wa mikoa na makatibu tawala wote. Alisema: Sitaki iitwe semina. Ndio maana nimesema wapewe mitihani.
Sosi: ippmedia.com
Akizungumza na waandishi wakati wa kutajwa majina ya wakuu wa mikoa Pinda alisema,
Tumetoa wiki moja, wakuu hawa wajiandae kwenda kwenye vituo vyao vya kazi, watatakiwa kuapa mbele ya mkuu wa mkoa halafu tutawapatia mafunzo kwa wiki mbili pale Dodoma tena nimewaambia watu wa Tamisemi wawape mtihani kabisa,
Alisema mafunzo hayo yatawahusisha pia wakuu wote wa mikoa na makatibu tawala wote. Alisema: Sitaki iitwe semina. Ndio maana nimesema wapewe mitihani.
Sosi: ippmedia.com