Ametoa Tshs 10,000,000/= za ubani kwa wafiwa!!
Hapa sijaelewa,
polisi ktk tamko lao inaonesha hawa marehemu walivunja sheria. Sasa siri kali inatoa rambirambi kwa wavunja sheria. Yaani sasa majambazi wakiuawa na polisi, serikali itatoa rambirambi?
This is stupid and crazy!