Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Na hivi kodi zinazolipwa na waislamu zinaenda wapi? Bakhressa No 1 Taxpayer kodi yake inaenda wapi? Zakhem, SSB, Abood, Zakaria Companies hawa kodi zao zote zinaenda wapi? Mie ninakatwa kodi ya milioni moja kila mwezi inaenda wapi? Msitake kutuzingua hapa!!!
Una uhakika na hicho kilichokuwa na rangi? MTU BINAFSI au KAMPUNI? Kama ni kampuni yawezaje kampuni kuwa "Muislamu?