Serikali yatoa Tumaini Mahakama ya Kadhi

Hiyo mahakama ya kadhi hata ikiwepo haitakuwa na nguvu yeyote. Tena kwa namna CCM ilivyoonja joto ya jiwe kwa wabunge wake wengi waliokuwa wakishabikia hoja hiyo kubwagwa nafikiri kitakachofuata ni changa la macho. Isitoshe Tanzania inategemea kiasi kikubwa cha fedha kutoka nchi ambazo ni za kikristo kwa maana hiyo sipendi kuamini kuwa Serikali ya Tanzania inaweza kujaribu kumega fedha za hao wanaoitwa "makafiri" kulipa mshahara wa kadhi na watu wake. Ndiyo maana hata kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM safari hii sikusikia wakikazia jambo hilo. Hivyo kujifariji hawakatazwi ila ukweli itakuwa vigumu kuupinga.:loco:
 
Hiyo mahakama ya kadhi hata ikiwepo haitakuwa na nguvu yeyote. Tena kwa namna CCM ilivyoonja joto ya jiwe kwa wabunge wake wingi waliokuwa wakishabikia hoja hiyo kubwagwa nafikiri kitakachofuata ni changa la macho. Isitoshe Tanzania inategemea kiasi kikubwa cha fedha kutoka nchi ambazo ni za kikristo kwa maana hiyo sipendi kuamini kuwa Serikali ya Tanzania inaweza kujaribu kumega fedha za hao wanaoitwa "makafiri" kulipa mshahara wa kadhi na watu wake. Ndiyo maana hata kwenye ilani ya uchaguzi ya CCM safari hii sikusikia jambo hilo likitajwa. Hivyo kujifariji hawakatazwi ila ukweli itakuwa vigumu kuupinga.:loco:

For your information mfadhili mkubwa wa Tanzania sasa hivi ni Mchina (hana dini), wakifuatiwa na nchi za kiarabu. Marekani na other western countries wanapledge tu kutoa lakini wakitoa either zinatoka pesa kidogo au zote zinachukuliwa na wao wenyewe watanzania wanafaidika kidogo tu. Ulizia vizuri data zako kabla hujasema. Pili huko marekani au Uingereza 10% ya wananchi wake ni waislamu je nawao watasemaje? Acheni kuwatisha waislamu wanapodai haki yao ya msingi.
 
What is democracy by the way kama wewe ni mtu democratic. Usifikiri waislamu ni vihiyo kama stereotype mind yako inavyokutuma na waislamu kama watanzania wanatumia their democratic right kufight mahakama ya kadhi sasa wewe mwanademokrasia lete hoja ya kuipinga kama unayo. Na unadai tuipeleke vijiwe vipi? another pointless good for you

my point is kila group la watu likiungana na kutaka kuihusisha serikali kwa kufungua mahakama zao kulingana na kanuni za dini zao tutafika kweli, kodi zetu as it is they are stretched its easier kwa watu hao kukutana wenyewe na kuanzisha mambo yao wenyewe na kuyasimamia wenyewe, were do we draw the line, je tuanzishe mahakama za mila za kihaya, kichagga, kisukuma, and etc na kuihusisha serikali as well au tunaweza tukaendesha mila zetu sisi na mababu zetu na ndugu zetu huko kwetu???
 
Na hivi kodi zinazolipwa na waislamu zinaenda wapi? Bakhressa No 1 Taxpayer kodi yake inaenda wapi? Zakhem, SSB, Abood, Zakaria Companies hawa kodi zao zote zinaenda wapi? Mie ninakatwa kodi ya milioni moja kila mwezi inaenda wapi? Msitake kutuzingua hapa!!!

Kodi zenu zinajenga misikiti
 
tanzania inaenda kubaya sasa ipo cku wakatoliki nao watadai mahakama yao kama waislamu je itakuwaje..?

wakristo wanayo siku nyingi, na wanatumia canon law, lakini haihusiani na mambo ya nchi wala haitummi hata senti tano walipa kodi. Kwani nani kawazuia waislam kuunda mahakama ya kadhi? Waunde hata leo kama wakitaka lakini pesa ya walipa kodi haiwezi kugharamia hiyo kitu, labda waombe fungu kutoka saudi arabia au libya. Na katiba yetu haiwezi kuingiza hivyo vitu. Kwani waislamu wanapofunga ramadhani huwa wanaomba kibali serikalini? Au imeandikwa kwenye katiba kwamba muislam kwenda hijja? Pls yujadili mambo ya msingi.
 
my point is kila group la watu likiungana na kutaka kuihusisha serikali kwa kufungua mahakama zao kulingana na kanuni za dini zao tutafika kweli, kodi zetu as it is they are stretched its easier kwa watu hao kukutana wenyewe na kuanzisha mambo yao wenyewe na kuyasimamia wenyewe, were do we draw the line, je tuanzishe mahakama za mila za kihaya, kichagga, kisukuma, and etc na kuihusisha serikali as well au tunaweza tukaendesha mila zetu sisi na mababu zetu na ndugu zetu huko kwetu???

Good point sio kila group likianzisha mahakama zitakuwa ni mkanganyiko. Tatizo sheria za sasa za tanzania asili yake ni dini ya kikristo (Canon and Common Laws (from UK and Germany (Anglican and Lutheran Church)). Sasa baadhi ya sheria zinakinzana na matakwa ya waislamu na hapo ndio mgongano huanza. Kama wahaya na wachaga nao wataanzisha basi zitakuwa mahakama za kikabila but at the moment in the mind of many muslims mahakama za tanzania ni mahakama za kikristo since they favors christians than muslims and that is the contradiction inapoanza.
 
Mahakama ya Kadhi ni Lazima upende usipende kwani nyie mlizuiliwa???

Hakuna anaebisha nyinyi kuwa na mahakama yenu ya kadhi kama mnavyotaka. ILA SI KWA PESA YA WALIPA KODI.

Kodi yangu ikitumika kuendesha mahakama ya kadhi mimi nitanufaika na nini? Kwa nini msiiendeshe kwa michango (kama wengine wanavyoendesha shughuli zao za kidini)?
 
Hakuna anaebisha nyinyi kuwa na mahakama yenu ya kadhi kama mnavyotaka. ILA SI KWA PESA YA WALIPA KODI.

Kodi yangu ikitumika kuendesha mahakama ya kadhi mimi nitanufaika na nini? Kwa nini msiiendeshe kwa michango (kama wengine wanavyoendesha shughuli zao za kidini)?

Kwani mie nanufaika na nini na kodi yangu ninayolipa serikalini? Kwani walipa kodi Tanzania ni wakristo pekee au vp mbona JF kuna watu mna fikra za mgando hivi!!
 
Good point sio kila group likianzisha mahakama zitakuwa ni mkanganyiko. Tatizo sheria za sasa za tanzania asili yake ni dini ya kikristo (Canon and Common Laws (from UK and Germany (Anglican and Lutheran Church)). Sasa baadhi ya sheria zinakinzana na matakwa ya waislamu na hapo ndio mgongano huanza. Kama wahaya na wachaga nao wataanzisha basi zitakuwa mahakama za kikabila but at the moment in the mind of many muslims mahakama za tanzania ni mahakama za kikristo since they favors christians than muslims and that is the contradiction inapoanza.

wait a minute kwahiyo mimi kama ninamshtaki muislamu itabidi nimpeleke mahakama kadhi sababu mahakama za sasa zina muundo wa kikristo (please this is a can of worms, its very dangerous) precaution ni kwamba government isiingilie according to you mahakama inabidi ibadilishe sheria ili kuwa accomodate watu wengine is that right?!!!
 
wait a minute kwahiyo mimi kama ninamshtaki muislamu itabidi nimpeleke mahakama kadhi sababu mahakama za sasa zina muundo wa kikristo (please this is a can of worms, its very dangerous) precaution ni kwamba government isiingilie according to you mahakama inabidi ibadilishe sheria ili kuwa accomodate watu wengine is that right?!!!
heee kumbe ndo mawazo yenu kuwa mahakama zilizopo ni za wakristo, na mbona kunawanasheria waislam vipi hao wameamua kufuata sheria za kikristo?, katiba pia ni ya wakristo??
 
wait a minute kwahiyo mimi kama ninamshtaki muislamu itabidi nimpeleke mahakama kadhi sababu mahakama za sasa zina muundo wa kikristo (please this is a can of worms, its very dangerous) precaution ni kwamba government isiingilie according to you mahakama inabidi ibadilishe sheria ili kuwa accomodate watu wengine is that right?!!!

Kaka kuna mambo mahakama ya kadhi itayashughulikia particularly mambo ya kijamii kama ndoa vizazi na vifo. Kwenye mambo ya ugomvi criminal offences na civil lawsuit si sheria zipo bwana zitatumika tatizo liko wapi sasa?
 
hata kama niwatanzania huwezi kutumia kodi za umoja kwa kundi la watu tu!
Kodi lazima inufaishe watu wote tena kwa usawa!

Is that so sasa tuulizane ni kundi gani lilikuwa likifaidi mwanzoni jibu utalipata. Na hebu nipe faida ambazo mahakama ya kadhi inaweza kuzipata katika kodi zenu?
 
is that so sasa tuulizane ni kundi gani lilikuwa likifaidi mwanzoni jibu utalipata. Na hebu nipe faida ambazo mahakama ya kadhi inaweza kuzipata katika kodi zenu?
hujui kuwa gharama zote za kadhi inatakiwa zilipwe na serikali ikiwemo hata majengo!?
 
heee kumbe ndo mawazo yenu kuwa mahakama zilizopo ni za wakristo, na mbona kunawanasheria waislam vipi hao wameamua kufuata sheria za kikristo?, katiba pia ni ya wakristo??
Kaka mi nilikuwa ninamjibu huyo aliesema mahakama za sasa zina muundo wa kikristo myself am the believer kuwa serikali haina dini ila inaruhusu watu kufanya mambo yao wenyewe
 
Kaka mi nilikuwa ninamjibu huyo aliesema mahakama za sasa zina muundo wa kikristo myself am the believer kuwa serikali haina dini ila inaruhusu watu kufanya mambo yao wenyewe
Mkuu hata mimi najua hivyo sasa nashangaa anaposema kuwa mahakama zilizopo nizakikristo!
 
Kwani anayehudumiwa na mahakama ya kadhi ni nani mtanzania au si mtanzania? na serikali ni nini?

Dont you think our kodi is stretched already kuliko kuiongezea mzigo wa mahakama (iwe ya kikristo, kipagani, kiislamu etc) what i think ni kwamba mambo kama afya, elimu, n.k. they need more money, na haya yatamnufaisha kila mtanzania hata mpagani ambaye hana dini .. kwanini tumtenge huyu mpagani na achangie kitu ambacho hakimsaidii
 
Back
Top Bottom