Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
mimi niliisoma hii ,sioni upya wake.Ni magamba tuu walilala zamani huku wakijua kuwa tataizo lilikuwepo tangu uhuru na mwalimu aliweka meli kama Move ya kwanza.Mkapa na Kikwete wakashidwa weka meli zingine mapema hadi leo.JK katoa hadi kibao sasa wamalawi wanamkumbusha hizo ahadi,.Ingekuwa CDM magamba wangetafuta sababu ya kukwepa.