Serikali yatoa ramani mpya ya Tanzania

itakuwa we ni kilaza tu raman ya zamani na xaxa kuhusu mpaka wa malawi ipo tangu icho kipinid hapo kipya ni hyo mikoa mipya tu..

Huu ni uandishi gani? Bora hata hayo maneno mawili ya mwisho lakini hilo la kwanza, mnaniudhi sana! Sasa hapo umekwepa nini? ungetumia "s" badala ya "x" ingekugharimu nini?
 
Hiyo ramani licha ya kuwaonyesha malawi kuwa msimamo wetu ni katikati ya ziwa, zaidi ni kuwajenga watanzania kisaikolojia kwamba wawe tayari kwa lolote mpaka ni katikati ya ziwa.!

Idawa,
Advocate Jusa, mimi, hata wewe msimamo wetu mmoja, we love our country which we call it "our motherland yaani Tanzania". Tofauti ni kuwa huyo aliyechapisha hiyo ramani ameandika hiyo ramani ni "Mpya"; yaani kulikuwapo "ya zamani" na sasa tumechapisha mpya. Swali letu ni kuwa hivi serikali sasa imechapisha ramani "mpya" baada ya Malawi kulalamika? Halafu hapo juu ulivyomjibu Advocate Jusa ndiyo kitu uliyotakiwa kuandika in the first place. In my opinion our Government have been sleeping; hii ya mipaka lazima tuwe macho siku zote.
 
Hiyo ramani licha ya kuwaonyesha malawi kuwa msimamo wetu ni katikati ya ziwa, zaidi ni kuwajenga watanzania kisaikolojia kwamba wawe tayari kwa lolote mpaka ni katikati ya ziwa.!

Idawa,

Kisaikolojia unajengwa na nchi kuanzia mkuu wa nchi hadi afisa wa jeshi wanakuwa na msimamo mmoja. Mfano China na Japan Kuanzia wakuu wa nchi wanamsimamo mmoja wa kutetea mipaka ya nchi yao kuhusiana na mgogoro wa Diayou Island. China imekuwa ikifanya zoezi la kijeshi wiki mbili sasa. Japan wameanza mazoezi na wamarekani jana kwenye maeneo ya karibu na kisiwa hicho. Hayo ndio maandalizi ya kisaikolojia. Sasa njoo nchini kwetu Tanzania Rais anaashiria kuwa ziwa sio letu. Waziri wake Sitta na Membe wanasema Ziwa Nyasa letu. Saikolojia gani inatoka hapo au ndio ule wimbo kigeu kigeu kigeu. Wazungu wanasema dysfunctional organisation. Hebu fafanua kidogo mkuu
 
Hii ramani kachora mbongo mwiz wa kila kitu, kweli akili moja inaweza kufuta uhalisia wa ramani zilizoko duniani kote, hii mutaitambua nyinyi tu, na kwanini ichorwe leo? Huu ni wizi wa Kitanganyika .
 
  • Inaonyesha mpaka wa Tanzania na Malawi .
  • Mikoa mipya na wilaya mpya 19.
attachment.php

Ungeweka na link ya ulipoitoa maana hiyo picha ni ndogo sana haisomeki.
 
Kama Tanzania imetoa ramani hii kwa ajili ya kuzima mgogoro na Malawi basi utakuwa ni utoto mkubwa sana.

Ni sawa na kuichakachua saa yako ili ionyeshe muda unaoutaka mwenyewe.

Kila nchi inaweza kufanya hivyo, hata Malawi ramani yao inaonyesha Ziwa lote liko upande wao.

Tutafute facts zenye nguvu ili tuwashinde kwa hoja na sio kujichapishia ramani wenyewe halafu kujitia moyo.
 
Ramani hiyo kuwa ya kweli au kutokua ya kweli hilo unalijua wewe na roho yako huko mafichoni.

Lakini napenda nikushtue hadi hapa ya kwamba kama ulikua hujui kung'amua mambo mapema basi sasa ukae ukijua ya kwamba msimamo RASMI NDIO HUO tumeshautangaza hadharani ili kila mbaye hakua na taarifa hizo sasa apate kuzitambua na kuziheshimu bila kulazimika kusukumwa kufanya hivo.

With that simple map you are seeing up there, what it all potend to the Malawians and any other person out there, loud and clear, is that as a country
Tanzania has OFFICIALLY MARKED HER RED-LINES beyond which no bothersome a cocroach or mosquito shall be spared an inch.

If you don't believe this basi upeo wako unamatatizo mkuu.


Hii ramani kachora mbongo mwiz wa kila kitu, kweli akili moja inaweza kufuta uhalisia wa ramani zilizoko duniani kote, hii mutaitambua nyinyi tu, na kwanini ichorwe leo? Huu ni wizi wa Kitanganyika .
 
Hii ramani kachora mbongo mwiz wa kila kitu, kweli akili moja inaweza kufuta uhalisia wa ramani zilizoko duniani kote, hii mutaitambua nyinyi tu, na kwanini ichorwe leo? Huu ni wizi wa Kitanganyika .

kwani sisi tunaitambua ya kwenu.??
 
Nasubiri ya Tanganyika. Hope itatoka Soon!.

Tunataka na ramani ya Tanganyika.

Hata mimi nina hamu na ya Tanganyika maana uhuru umekaribia kupatikana kwa wenzetu

Na kweli wasituzingua watoe ya Tanganyika ndiyo walete ya muungano kama tutaihitaji....

Baada ya ramani ya Tanganyika nawashauri Wapemba na wao wajiandae kudai mpaka wao na Unguja maana hakuna historia inayosema kulikuwa na Muungano kati ya Unguja na Pemba. Yani raha mpaka basi. Yupo wapi rafiki yangu Ismail Jussa?

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com
 
"In the new map, the boundary between Tanzania and Malawi is in the middle of lake Nyasa as it is in the old map" said Dr. Mayunga.

Tatizo watu wenye concentration ndogo, comprehension haba na kumbukumbu ya mafungu wameruka hapo.

Na kwa nchi ambayo haina historia ya conquest sishangai sana kiona wengine hawajui umuhimu wa symbolism kama kujenga, kuweka bendera na kuchapa ramani katika ku lay claim.

I am wondering which flag is on those islands just off of Mbamba bay.
 
Baada ya ramani ya Tanganyika nawashauri Wapemba na wao wajiandae kudai mpaka wao na Unguja maana hakuna historia inayosema kulikuwa na Muungano kati ya Unguja na Pemba. Yani raha mpaka basi. Yupo wapi rafiki yangu Ismail Jussa?

TUMBIRI (PhD, University of HULL - UK),

tumbiri@jamiiforums.com

Halafu Nassari naye adai Jamhuri ya Arusha? Ukitaka kurudi nyuma kwenye historia utakuta hata Tanganyika haikuwepo. Where do you draw the line? And why exactly there?
 
Hii serikali haifanyi kazi bila kusukumwa. Mikoa na Wilaya mpay zilitangazwa lini? Na muda wote huo walikuwa wanatumia ramani ipi? Mwaka jana kuna watu walikuwa wanatafuta ramani inayoonesha mikoa na wilaya zote (including hizo mpya) lakini hawakupata! Hata kwenye ofisi za serikali hakuna aliyekuwa nazo. Sasa bakora ya huyu Mama Banda wa Malawi ndiyo imewakumbusha wajibu wao! Mambo ya aibu kabisa.
 
Hii serikali haifanyi kazi bila kusukumwa. Mikoa na Wilaya mpay zilitangazwa lini? Na muda wote huo walikuwa wanatumia ramani ipi? Mwaka jana kuna watu walikuwa wanatafuta ramani inayoonesha mikoa na wilaya zote (including hizo mpya) lakini hawakupata! Hata kwenye ofisi za serikali hakuna aliyekuwa nazo. Sasa bakora ya huyu Mama Banda wa Malawi ndiyo imewakumbusha wajibu wao! Mambo ya aibu kabisa.

Inawezekana kabisa unachosema kikawa kweli, lakini ni vigimu kuwana uhakika na inabidi kuwapa "benefit of doubt"

Ukitegemea ramani itolewe kila mwaka then whats next? Utataka sensa nayo ifanyike kila mwaka?

Siwatetei lakini ni lazima ufikiri strategically and ecomomically, nchi inabidi itumie resources frugally. Na kama watu walikiwa hawajamaliza mchakato ingekuwa upuuzi kutoa ramani mpya kila mwaka ukiongeza mkoa mmoja mmoja.
 
Ramani haiwezi kutumilikisha Ziwa hata kama tukizichora nyingi tukamgawia kila binadamu duniani. Tanzania, kwa nini tunakuwa watu wa kutegemea hisia zaidi kuliko facts!! Kihisia tunataka kumiliki Ziwa baada ya hapo hatutafuti facts zitakazotuwezesha kumiliki Ziwa. Tangu kuibuka tena kwa mgogoro wa Ziwa wenzetu wametoa legal grounds wanazosimamia sisi tunasema kuna ramani zinaonesha Ziwa ni letu, kama hii iliyotolewa!! Je, Wamalalwi hawana ramani zao zinazoonesha Ziwa ni lao??!!
Tunatumia sheria za kimataifa ambazo kimsingi zinatumika kutatua migogoro sehemu ambazo hakuna mkataba!!

Sitaki kujifariji kwa ramani kama hii au ile niliyofundishwa shuleni, nataka kusikia grounds zenye nguvu kutoka kwa viongozi wetu zenye kuleta matumaini ya kupata ushindi katika mgogoro huu wa Ziwa Nyasa!!.
 


Hebu tupeni na Gharama halisi ya Kuandaa hii Ramani... Miaka ijayo utakuta ambiwa ramani imegharimu billion 500 kuitengeneza
 
Kama jk amelidhia kuwa mpaka ni katikati ya ziwa kama ramani inavyoonyesha.basi anatakiwa kuulinda kwa gharama yoyote ile.asiwe kigeugeu akija kwa watanzania mpaka uko katikati ya ziwa.wamalawi wakikaza uzi inakuwa hivi dada yangu Banda ninakuhakikishia tz haitapigana vita na malawi mimi ndie amiri jeshi mkuu.huku nchi ikiondoka mchana kweupee.
 
Kama jk amelidhia kuwa mpaka ni katikati ya ziwa kama ramani inavyoonyesha.basi anatakiwa kuulinda kwa gharama yoyote ile.asiwe kigeugeu akija kwa watanzania mpaka uko katikati ya ziwa.wamalawi wakikaza uzi inakuwa hivi dada yangu Banda ninakuhakikishia tz haitapigana vita na malawi mimi ndie amiri jeshi mkuu.huku nchi ikiondoka mchana kweupee.
 
Kama JK amelidhia kuwa mpaka ni katikati ya ziwa kama ramani inavyoonyesha.basi anatakiwa kuulinda kwa gharama yoyote ile.asiwe kigeugeu akija kwa watanzania mpaka uko katikati ya ziwa.

Wamalawi wakikaza uzi inakuwa hivi dada yangu Banda ninakuhakikishia Tz haitapigana vita na malawi mimi ndie amiri jeshi mkuu.huku nchi ikiondoka mchana kweupee.
 
Back
Top Bottom