King Suleiman
JF-Expert Member
- Dec 27, 2010
- 496
- 327
Kuhusu hilo mbona lipo wazi kabisa kwamba polisi ndio chanzo cha mauaji? Na jumuiya za kimataifa zinatakiwa zitambue kwamba mambo sio shwari kama wanavyoambiwa.
kinachonipa raha kwenye hii serikali ni kila mtu kukurupuka na kauli zake. Atakuja makamba na bintiye Chatanda wataongea lao, Nahodha ataongea lake, Tendwa lake. But napenda nisummarise kwaajili yao, ARUSHA MMEFANYA USANII KWENYE UCHAGUZI WA MEYA
kinachonipa raha kwenye hii serikali ni kila mtu kukurupuka na kauli zake. Atakuja makamba na bintiye Chatanda wataongea lao, Nahodha ataongea lake, Tendwa lake. But napenda nisummarise kwaajili yao, ARUSHA MMEFANYA USANII KWENYE UCHAGUZI WA MEYA