Hapa tuna vijana wa UDSM, tunaomba mtwambie.
Serikali nao tunaomba watuambie imeingia hasara kiasi gani kwa kukopesha watu ambao baadae inawafukuza bila kujali kuwa inawadai kwa mambo ambayo wangekaa meza moja na kuongea, Prof. Mkandara hacha ubabe, kutana na vijana muongee haya mambo yanamalizwa kwa mazungumzo.
Hivi ile taasisi yako ya Democrasia ndo mnatumia nguvu kusolve matatizo ya kisiasa, maana hata ukijaribu kulivika hili tatizo mambo ya kipolisi linarudi kuwa la kisiasa.
- Nini msimamo wa wanafunzi waliofukuzwa mpaka sasa, au wamechukua hatua gani?
- Nini msimamo wa wanafunzi waliobakia, wanatoa kafara wenzao au inakuwaje
- Tunaomba maoni yenu kuhusiana na hali ya baadae chuoni hapo kwa kukubali, kuondoka kwa wale waliofukuzwa na kukubali kuendelea na masomo kwa waliobakia, effect yake kwa wanafunzi wanaokuja si wataonewa sana wakijaribu kugoma watafukuzwa kwani wataona ili linawezekana.
Serikali nao tunaomba watuambie imeingia hasara kiasi gani kwa kukopesha watu ambao baadae inawafukuza bila kujali kuwa inawadai kwa mambo ambayo wangekaa meza moja na kuongea, Prof. Mkandara hacha ubabe, kutana na vijana muongee haya mambo yanamalizwa kwa mazungumzo.
Hivi ile taasisi yako ya Democrasia ndo mnatumia nguvu kusolve matatizo ya kisiasa, maana hata ukijaribu kulivika hili tatizo mambo ya kipolisi linarudi kuwa la kisiasa.