Huu ubeberu ungekuwapo pia katika kufuta mikataba mibovu..........mbona pangekuwa hapakaliki??
Prof Maghembe.........hatua uliyochukua ni ya Kipumbavu........kumbuka mzee wa VIJSENTI amesema.........wewe hukuzaliwa kuwa Waziri........na huu ndio ulikuwa mtihani wako mzuri kuonyesha kwamba wewe ni tofauti na majuza waliopita ku-approach masuala kama haya.
Chuo Kikuu sio shule ya msingi kusema watu wote wanaingia madarasani masaa yanayofanana........kuna watu wanafanya research....kuna wengine siku hiyo hawana darasa.......in short masaa ya wanfunzi chuoni hutofautiana.........wewe unatoa amri kufikia saa fulani wote muwe darasani.....kwani imekuwa shule ya msingi Rufiji ile.......damn!
Wanafunzi wana matatizo yao...hatukatai.....vile vile wana haki zao..........yaani NYIE MIJITU MLIO NA MIWAZO ISIYOBADILIKA BADO MNAFIKIRIA ENZI ZA CHAMA KIMOJA..........amri amri..........ni hatari na wa kuogopwa kama UKOMA
Shame on You......Maghembe
Prof Maghembe.........hatua uliyochukua ni ya Kipumbavu........kumbuka mzee wa VIJSENTI amesema.........wewe hukuzaliwa kuwa Waziri........na huu ndio ulikuwa mtihani wako mzuri kuonyesha kwamba wewe ni tofauti na majuza waliopita ku-approach masuala kama haya.
Chuo Kikuu sio shule ya msingi kusema watu wote wanaingia madarasani masaa yanayofanana........kuna watu wanafanya research....kuna wengine siku hiyo hawana darasa.......in short masaa ya wanfunzi chuoni hutofautiana.........wewe unatoa amri kufikia saa fulani wote muwe darasani.....kwani imekuwa shule ya msingi Rufiji ile.......damn!
Wanafunzi wana matatizo yao...hatukatai.....vile vile wana haki zao..........yaani NYIE MIJITU MLIO NA MIWAZO ISIYOBADILIKA BADO MNAFIKIRIA ENZI ZA CHAMA KIMOJA..........amri amri..........ni hatari na wa kuogopwa kama UKOMA
Shame on You......Maghembe