Ericus Kimasha
JF-Expert Member
- Oct 27, 2006
- 488
- 470
Majuzi Nape alikuwa bk kwenye msiba wasujaa wetu,sijui siri+kari ilitoa kiasi gani?
dah hivi Michael Jackson alipofariki serikali ya Obama ilitoa fungu maana duh , nilipata tetesi kuwa serikali iligharamia mazishi ya kanumba ambapo ni shs 10/=M kwahiyo hii ni phase 2 yani jumla ni 20/=M kwa ajili ya kanumba .Our government is poor because it is misappropriating it's resources kwa wakimpa mamaye kanumba ndo nn sasa sh...t
Jamani hizi pesa zimetoka kitengo cha maafa /dharura msiwaze sana.
Serikali yetu inapenda sifa kwa vijambo vidogo vidogo.Kweli serikali ya JK inashangaza na kustajabisha kama sio kusikitisha.
Hivi hiiserikali imelogwaaaa ???? inaweza ikawa nizaidi yakulogwa .
mbona sijasikia wale wanjeshi walio pigana vita ya idiamini walipo fariki mbona familia yao haijapewa hela mingi namna hii?
huu ni ubaguzi . ni watuwangapi maarufu ambao wamejitolea maisha yao kwenye taifahili na familia yao haikupewa hicho kiasi chafetha.
Serikali ya ccm ni yakishamba sijawahi pata ona . niwapi ulishawahi sikia ela zinatoka serikalini burungutu kama aliloshika huyo waziri? ni ya JK tu. Sasa hawaoni niabu wana mtafutia huyo mama mikasa na familia yake ?
fikiri kama watu wataamua kumvamia .
Nasema tena niserikali ya kishamba wanahimiza cheki na hila za mitandao lakini wao wana tembea na maburungutu
niushamba na ubaguzi wahali ya juu . watu wamepigwa na mambomu na hajalipwa mpaka leo . kuna watu wanahitaji matibabu na hawasaidiwi kuna wanafunzi wana kaachini hapo kipawa wala sinje ya Dar lakini hawaoni hilo
View attachment 55034
..........Tukio hili linaleta hisia za ubaguzi wa Taasisi za dola na chama katika kutoa uzito kwenye majanga, matatizo na misiba ya watu wa Taifa hili. .........Hili linatuongezea huzuni na kutuongoza kuamini kuwa misiba ya watu wa maeneo nje na Dar es Salaam haigusi hisia za Rais hata kama ni ya Watu waliotoa mchango mkubwa kwa Taifa hili. ........
Na mwisho tunamtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano Tanzania, yeye kama Taasisi awe Rais wa Watanzania wote; wa Dar es Salaam na Mikoani.
izi pesa zimetoka katika bajeti ipi??na matumizi yake ya awali yatakuwa replaced namna gani? Kwanini zisingenunua hata darubini za kupimia marelia kule majita makojo-musoma kuokoa maisha ya walio hai??kuna wakati natamani jazba za wazenji ingawa si nzuri.