kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
ulaji huu watoto wa vigogo kaeni mkao wa kula ongezeni sms kwa riz atawatoa
Njia ya kupeana kula tu...mamikoa yote hayo na mawilaya hayo ni zigo kwa mtanzania masikini.
kwani we umekatazwa kuchangia?au ndio kujikombakomba kwa watawala?:lol:Tuache umbumbu jamani. Mbona mnakuwa kama watoto kwa michango yenu ya ajabuajabu. Kama huna hoja kaa kimya sio kila kitu uchangie
Jamani mbona haya maajabu mi katika maisha yangu sijawai kusikia mkoa wenye wilaya mbili
Hizi pesa za kuhudumia hii Mikoa sijui zitatoka wapi? Kama za kuhudumia Mikoa iliyopo ni shida . Pesa za madakitari ni shida ! Za walimu ni shida ! Du Kweli ukiongozwa na boga lolote linawezekana